Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
kiukweli huyu bwana mdogo hana kosa lolote ndo mana polisi wamemuhoji wakamuachia
kuna kosa kutoa lifti jamani hususan kwa mpenzio wa zamani acheni majungu!
Mmh!! 1)Kwa nini amuulize Lulu?
2)Aliaminije kuwa Lulu ndiye pekee anayeweza kumhakikishia kuwa Kanumba kafariki.
3)Kwa nini Alikiba afiche hadi ahusihwe ndio atoe maelezo haya?
Nafikiri ingawa source si cha uhakika lkn kuna issue ya kufanyiwa utafiti hapa.
amemtaja wapi hivi sasa lulu yuko segerea. tuwe macho kifo cha kanumba kinaweza kuwachafua hata wasio husika
Povu za nini tena?hujasoma kuwa kwa wasanii wa maigizo ali kiba alıkuwa na namba ya lulu pekee? unapohoji kuwa kwa nini ali kiba afiche mpaka ahojiwe ulitaka aitishe press conference kusema kuwa baada kusikia habari za kifo cha kanumba alimpigia simu lulu kumuuliza?
Povu za nini tena?
Mbona nimeckiya kwamba kanumba kaonekana tabata akinunuwa vocha???¡¡¡ Naombeni mnipe ukweli.
mbona kumpa lift mtuhumiwa kama hujui amefanya kosa sio issue.Watu wengi watahojiwa kuhusiana na kifo cha The great.lulu amtaja ali kiba ndiye aliyempa lift kutoka kwa marehemu kanumba.
uliza wauza vocha wote Tabata watakupa ukweli.Mbona nimeckiya kwamba kanumba kaonekana tabata akinunuwa vocha???¡¡¡ Naombeni mnipe ukweli.
mkuu ukisoma mada kama hizi subiri watu kama 20 uangalie ukweli usije umbukaamemtaja wapi hivi sasa lulu yuko segerea. Tuwe macho kifo cha kanumba kinaweza kuwachafua hata wasio husika