KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hatimae sasa bwana Steven Kanumba keshazikwa,hatunae tena duniani,tunamuombea kwa mungu amsamehe madhambi yake na pia tunamuombea mungu amfanyie wepesi siku hii ya leo kwa sababu inaelezwa na kuaminika siku ya kwanza kaburinini ni siku ngumu na nzito sana kwa marehemu.
Lakini kwa kuwa maisha ni lazima yaendelee sasa,nashauri haya yakitulia aliyekua mpenzi wa marehemu aandike kitabu kuelezea uhusiano wake wa kimapenzi na marehemu toka walivyokutana mpaka kuachana hii juzi,kitauza sana,na hii ni changamoto na business idea kwa wenye pesa na mngependa kuziiinvest pahala,kwa sasa pahala hot ni hapo.Na pia hii itakua fursa nzuri kwa wapenzi wa kanumba kuyajua maisha ya mpendwa wao nje ya filamu alikua ni mtu wa namna gani na pia kupitia kitabu hicho wataweza kuelewa kilichotokea siku ya mwisho ya kanumba toka asubuhi ya siku hiyo mpaka usiku umauti ulipomfika.Kwenye za wenzetu haya ni mambo ya kawaida sana,na sisi tuanzie hapa kwa LULU na KANUMBA kujifunza.
Nawasilisha
Lakini kwa kuwa maisha ni lazima yaendelee sasa,nashauri haya yakitulia aliyekua mpenzi wa marehemu aandike kitabu kuelezea uhusiano wake wa kimapenzi na marehemu toka walivyokutana mpaka kuachana hii juzi,kitauza sana,na hii ni changamoto na business idea kwa wenye pesa na mngependa kuziiinvest pahala,kwa sasa pahala hot ni hapo.Na pia hii itakua fursa nzuri kwa wapenzi wa kanumba kuyajua maisha ya mpendwa wao nje ya filamu alikua ni mtu wa namna gani na pia kupitia kitabu hicho wataweza kuelewa kilichotokea siku ya mwisho ya kanumba toka asubuhi ya siku hiyo mpaka usiku umauti ulipomfika.Kwenye za wenzetu haya ni mambo ya kawaida sana,na sisi tuanzie hapa kwa LULU na KANUMBA kujifunza.
Nawasilisha