Vipimo vikubwa na operation pia, tulilazwa siku 6, room per day ni laki 3......Mbona gharama kubwa hivyo?
Ulikuwa ni ugonjwa wa kawaida au ni magonjwa yenye kuhitaji vipimo vikubwa
Mind your own business pls 🙏🙏So you in your make-believe world, you only drive bimmers and mercs? Is that what you mean?
Pole xna ram njo kcmc hakuna bili za kijingajingaAga Khan ni wezi tu kama wezi wengine, mwanangu alilazwa siku 6, tulisaini bill ya million 14, Dr aliyemtibisha mtoto akasema tumpeleke bill aone kilichoandikwa ni sahihi baada ya kuikagua zilipungua kama million 2 hivi, na wakikuona una bima ndio wanakupiga balaa