Nova Kambota
Member
- Nov 12, 2009
- 62
- 1
- Thread starter
- #21
Naomba niseme hivi kwamba mifano ya mapadri waliooa na kuazaa haituhusu watanzania kwa maana hao hawajachukua fom za urais wa Tanzania hapa tunamjadili Dkt Slaa ambaye bila shaka haeleweki kabisa kwa maana kama kweli hakuwa na wito angeacha tangu akiwa seminari ndogo kama nilivyofanya mimi sasa kwanini aache baada ya kupata daraja hilo?
Unajua watanzania wenzangu hili si jambo la mzaa hata kidogo ni jambo zito kwa maana kiongozi huyu hana msimamo hii ndio dhamira nayojaribu kuizungumza , naomba kwanza anayedhani nimechanganyikiwa ajue mimi ni kijana mwenye akili timamu ambaye naamini katika mapambano ya hoja na si vinginevyo.
Unajua watanzania wenzangu hili si jambo la mzaa hata kidogo ni jambo zito kwa maana kiongozi huyu hana msimamo hii ndio dhamira nayojaribu kuizungumza , naomba kwanza anayedhani nimechanganyikiwa ajue mimi ni kijana mwenye akili timamu ambaye naamini katika mapambano ya hoja na si vinginevyo.