Vipi! Labda anaw ekewa kwenye account yake ili apigiekulikuwa hakuna lolote, ripoti ya fedha hizi ilikuwa ni fake kwa ajili ya kumpromoti ZZK kwa kumwandaa kwa haya yaliyotokea, kama zito anaelewa kila kitu, je uchunguzi unaotafutwa ni upi ?
Akiongea bungeni leo jioni amesema taarifa haijakamilika kutokana na baadhi ya sheria za kimataifa kuzuia kupata baadhi ya taarifa muhimu.Watz wenzangu kwa kauli hii tayari tumeliwa.