chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Waziri wa Ardhi William Lukuvi amesema atamchukulia hatua mfanyabiashara aliyemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda eneo kwa ajili ya viwanda kwa kuwa eneo hilo sio lake ni mali ya serikali."Sitaki ardhi itumike kama sehemu ya wafanyabiashara kutakatishia fedha zao chafu," alisema Lukuvi.
=====
Lukuvi kumchukulia hatua aliyempa Makonda shamba
Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, William Lukuvi amesema atamchukulia hatua mfanyabiashara aliyemkabidhi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda eneo kwa ajili ya viwanda kwa sababu eneo hilo si lake ni mali ya Serikali.
“Sitaki ardhi itumike kama sehemu ya wafanyabiashara kutakatishia fedha zao chafu,”amesema Lukuvi leo (Jumatatu) katika mkutano na waandishi wa habari.
Lukuvi amesema anataka watu wote wanaomiliki maeneo mijini kujisalimisha kwa maofisa ardhi wa wilaya wa ajili ya uhakiki.
Chanzo: Mwananchi
Kuna mjadala unaendelea hapa JamiiForums kuhusiana na Hii ardhi alopewa Mkuu wa Mkoa Dar Es Salaam Mh Paul Makonda hapa=>Angalizo kwa Rais na RC Makonda kwa kupewa ekari 1500
=====
Lukuvi kumchukulia hatua aliyempa Makonda shamba
Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, William Lukuvi amesema atamchukulia hatua mfanyabiashara aliyemkabidhi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda eneo kwa ajili ya viwanda kwa sababu eneo hilo si lake ni mali ya Serikali.
“Sitaki ardhi itumike kama sehemu ya wafanyabiashara kutakatishia fedha zao chafu,”amesema Lukuvi leo (Jumatatu) katika mkutano na waandishi wa habari.
Lukuvi amesema anataka watu wote wanaomiliki maeneo mijini kujisalimisha kwa maofisa ardhi wa wilaya wa ajili ya uhakiki.
Chanzo: Mwananchi
Kuna mjadala unaendelea hapa JamiiForums kuhusiana na Hii ardhi alopewa Mkuu wa Mkoa Dar Es Salaam Mh Paul Makonda hapa=>Angalizo kwa Rais na RC Makonda kwa kupewa ekari 1500