Unaweza kukataa lakini ndo hivyo utarudi kitaani,, bora saa hizi wataendelea kupiga misele korido za ikuluHahahaha wamepwa pini, kukataa hawawezi wanabaki tabasamu ila moyoni wanaumia
Usibabaishwe na majina mkuu. Huyo Lukuvi wanaomjua ni tofauti kabisa na unavyomuongelea wewe.Samia kweli amedhihirisha jinsi alivyo mweupe, na jinsi alivyochagua matango porini yake yamebuma hata kabla hayajaanza kazi, hivi unawezaje kumtoa Lukuvi ukaweka Ridhiwan Kitwete? baada ya aibu kubwa ndio kajitokeza masikini kusema ana kazi nao, jamani tuna Rais kweli Tz? Taifa letu limepatwa , kupatwa kwa jua.
Hivi mnajua Lukuvi na maofisa wake wa ardhi wamedhulumu wananchi wangapi Mali zao na ardhi nyie mnaosema ni mchapa kazi??Mmh!! Hzo position hazina title??
Anyway,, kwa Lukuvi nilishangaa na kusikitika,, ila najua baada ya wadau wengi kusikitika Kama mim hadharan,, ndo maana wamepewa backup option!!
Nadhani sio vizuri kusema Rais ni MWONGO ila hapa amedanganya baada ya kelele kuwa nyingi kuhusu utenguzi wa Lukuvi.Salaam Wakuu,
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi na Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, wametakiwa kwenda Ikulu kumsaidia kazi Rais Samia ya kuwasimamia Mawaziri...
Bado unaumia 😆😆😆Una shangaa nini, Chief Hagaya hajawahi kuwa na mapenzi na Lukuvi, na hataki watu smart na wenye misimamo....yeye wake ni magoi goi wa ndio mzee (sawa mama)
Ni kweli si unawaacha tuu kwani wao Wana hati miliki? Hakuna sababu ya kuanza kufurahisha watu mitandaoni.Ameamua kuwaosha baada ya watu kuongea saana kwenue Mitandao ya kijamii! Kikubwa Mama ajaribu kupuuza mihemko ya watu wa mitandaoni itamharibia kama atakuwa kila kelele ya mtandaoni anataka kuitolea ufafanuzi! Sijaona haja ya kulisema hilo
Kwani wakati anaongoza majadiliano hiyo ofisi haikuwepo?Mwanasheria Mkuu wa serikali kazi yake ni ipi? Kabudi anaenda kua boss wa AG?
Baba mikataba 😁😁😁Siasa ni sayansi. Tulia wewe!
Mama amekomaa haswaaaaaa.
Hawa ndio wamemalizwa, genge Lao na dhamira yao ya uspika imepigwa pini kiaina na Mheshimiwa Mama yetu kipenzi.
Angelina Mabula siyo kijana. Labda kama unasema KikweteNashukuru kwa kugundua Lukuvi ni jembe, aendelee kusimamia vijana waliopewa ardhi kwani ni ngumu sana. Hongera baba Lukuvi kwa kusimamia vizuri ardhi.
Kokote kule unachunguzwaHao waliovutwa Ikulu kwa kazi maalum wakikubali tu wameliwa vichwa!
Nyendo zao zitachunguzwa na hawatofurukuta
Lakini levels za kuchunguzwa zinatofautiana...Kokote kule unachunguzwa
Hatuzungimzii mm tunazungumzia wasaka UraisLakini levels za kuchunguzwa zinatofautiana...
Kumbuka alivochunguzwa Job ni tofauti na unavochunguzwa wewe hapo