Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,772
- Thread starter
- #101
Sio suala la ujuaji. Wewe unajijua uko darasa la sita na unataka ukahudhurie lecture za form six, halafu unaanza kusumbua watu na comments zako ambazo hazina mshiko baada ya kushindwa kuelewa mambo. Nani amekuambia udandie lecture za form six wakati wewe ni darasa la sita?Ushajimilikisha ujuaji tutashauriana VIP hapo.
Hata hivyo asante kwa mawazo yako.
Kuwa memba wa JF haina maana uchangie kila thread. Kama huelewi topic uliza kabla ya kuanza kulaumu au kusifia.