enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,065
- 3,585
Juzi si IGP alikuwepo huko au hukumuonaWaende na Kibiti basi
Juzi si IGP alikuwepo huko au hukumuonaWaende na Kibiti basi
Bora wangemfukuza kwenye msimba wa ndugu yetu.Hawajiamini, wanaogopa kupigwa
Haina shida sana hali mradi askari wale hawakuwabughudhi wananchi na mambo yote yalienda sawa kabisa, maana ulinzi kwa viongozi una nafasi yake kiitifaki hivyo siyo wa kupuuzia younever know.
Hapana ni kufuatia taarifa za kiinteligensia kuhusu hali ya usalama wa Mh Moshi mjini.Ndiyo magari mawili yenye askari wenye SILAHA alikuwa anaenda vitani ama!
Mbona kabla ua Lukuvi hawakuenda kuangalia usalamaUnauhakika gani hao polisi walikwenda kisa Lukuvi na sio kuhakikisha usala unakuwepo eneo hilo kwa ujumla?
Kwanini Kiki hadi misibani nyie watu!!
Huu upuzi wenu hamuoni hata aibu?
Mnaishiwa vibaya sana
Hapana ni kufuatia taarifa za kiinteligensia kuhusu hali ya usalama wa Mh Moshi mjini.
Ndiyo maono ya vyombo vya usalama, sasa utafanyaje? Maana lazima vitimize wajibu wake.
Hili gazeti, limeshakua Gazeti la udakuHata hivyo ni kawaida kwa waziri kuongozwa na vyombo vya usalama wakati wa msongamano wa watu
Mambo ya kiusalama ni dynamic sana huwezi jua mkuu.Kibiti IGP alienda na magari mawili tu la kwake na msaidizi wake ila kwenye msiba kunaweza tokea vita duh!Haya bwana hongera
The fear of unknownLabda aliogopa kupigwa na Marehemu
Ulitakiwa ushangae jeneza la Ndesamburo kuingizwa kanbisani likiwa limefunikwa nembo za CHADEMA kwani kule kanisani ulikuwa mkutano wa SIASA? Hivi viongozi wa dini hawakuliona hilo?
View attachment 520678
Mambo ya kiusalama ni dynamic sana huwezi jua mkuu.