Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,645
Salaams,
Kuna tetesi kwamba katika awamu hii inayoendelea, tangu kuteuliwa uwaziri, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye sasa ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Mh. William Lukuvi anautaka uwaziri mkuu pindi awamu ya tano itakapoingia. Tetesi zinasema ndio maana amekuwa mnoko na upendeleo hata kwa jambo lililowazi kabisa ili taasisi ya urais imkumbuke pindi wakati utakapofika.
Chanzo ni mbunge mmoja wa Tabora (Jina limehifadhiwa kwa sababu za kiuandishi).
Nawasilisha.
Kuna tetesi kwamba katika awamu hii inayoendelea, tangu kuteuliwa uwaziri, aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye sasa ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Mh. William Lukuvi anautaka uwaziri mkuu pindi awamu ya tano itakapoingia. Tetesi zinasema ndio maana amekuwa mnoko na upendeleo hata kwa jambo lililowazi kabisa ili taasisi ya urais imkumbuke pindi wakati utakapofika.
Chanzo ni mbunge mmoja wa Tabora (Jina limehifadhiwa kwa sababu za kiuandishi).
Nawasilisha.