BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Hapa nipo njia panda,jana nilienda kununua umeme wa elfu ishirini mlimani city,nikapata unity 105.1. VAT 18%, EWURA 1%, REA 3% julma 3,606.56(kodi)...leo nimenunua katika sheli ya BIG BON hapa mwenge umeme wa shilingi elfu ishirini na tano nikapata unity 131.4 VAT 18%, EWURA 1%, REA 3% julma 4,508.20(kodi), wataalamu waliosoma hesabu percentage zipo pale pale lakini kodi inaongezeka naomba ufafanuzi kama ww ni mjuzi wa mambo haya.....huu unaweza ukawa ndio wizi wa kitabu tusipofuatilia.