technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hivi kuna serikali kweli luku haipatikani tena leo.
Kwanini luku haipatikani tena Rais chukua hatua acha kuchekea watu
Toka asubuhi luku haipatikani waziri wa nishati yupo ofisini.
====
KUPITIA MITANDAO YAKE YA KIJAMII, TANESCO IMEANDIKA:
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na kukosekana kwa huduma ya manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya leo, Juni 7, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.
Sababu: Hitilafu iliyobainika wakati wa maboresho yanayoendelea katika mfumo wa manunuzi ya LUKU.
Huduma inatarajiwa kurejea leo, saa 12 jioni.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi kuhakikisha huduma inarejea.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza
Kwanini luku haipatikani tena Rais chukua hatua acha kuchekea watu
Toka asubuhi luku haipatikani waziri wa nishati yupo ofisini.
====
KUPITIA MITANDAO YAKE YA KIJAMII, TANESCO IMEANDIKA:
SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na kukosekana kwa huduma ya manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya leo, Juni 7, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.
Sababu: Hitilafu iliyobainika wakati wa maboresho yanayoendelea katika mfumo wa manunuzi ya LUKU.
Huduma inatarajiwa kurejea leo, saa 12 jioni.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wakiendelea na kazi kuhakikisha huduma inarejea.
Tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza