ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,440
- 2,543
Me mbuzi au me nini?
Me mbuzi au me nini?
Huyu kifesi mbona kama sio rizikiWanazengo acheni masihara, Ma photographers wa domo ni Ma handsome bwana , warumi mie ningekua na roho ya kuhonga hawa wa kaka ningewaweka ndani waachane na habari za kutanga tanga kupiga picha hovyo, nawapendaga tu walivyo, they are my appetite , Ila Mimi nae kwa umalaya tu sijambo, kila mtu namtaka, Ila mwenzenu mbahili kiama mie mwenyewe mdangaji naanzaje kuhonga? Mxieww , yani muitaliano wangu ahangaike kunipa good life na Mimi nikahonge? No ways, bora ninunue dildo mwenzangu.
kifesi siku hizi ni official photographer wa Madam widow , Jacky Mengi , Jacky Shetani asije kukupitia ukaanza kumbaka kifesi na wewe , maana Sasa hvi utakua unajiachia kama kote. Na nasikia kifesi kafungasha hatar
Ila lukamba tulikua tunachat vzuri, siku hizi umeanza kujishaua sijui umempata nani mxiew zakoView attachment 1093320 View attachment 1093322View attachment 1093324View attachment 1093325View attachment 1093326View attachment 1093328
ni ME huyo ila anaweza kukupa huduma unayotaka.
Siku hiz yuko busy na kampun kaacha umbea mume wangu mwacheni, mkewe warumi nipo naendeleza mtanange
Upendo wa kweli hauangalii sura!sisi wenye sura chachu tutafute hela tu
shida wanaopaswa kutupa upendo wa kweli bila kujali sura zetu kutwa kusifia wenye sura nzuri...Upendo wa kweli hauangalii sura!
Na bado msiyaone mafanikio au sioLeo wakijijini tutatumbua mimacho sana,
Hawako serious!shida wanaopaswa kutupa upendo wa kweli bila kujali sura zetu kutwa kusifia wenye sura nzuri...
inatuvunja moyo hii
hope so...Hawako serious!
Alikuwa anakera sana.. Kila siku Diamond this, Diamond that.. Kuna kipindi nikakutana nae Sinza kwenye Chipsi nikamkumbushia hizo mambo akacheka sana.Kifesi alikuemo humu jukwaa la celebs anajianzishia nyuzi.. wananzengo wakampelekesha puta akakimbia.. sasa naona umemrudisha kiaina..