Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

M

Mkuu Chief naona leo unaendeshwa na mapenzi kwa timu yako kulko kuchambua kiuhalisia ..
Tunachosema hapa ni kuwa kwanza Morata awali aligombewa na timu mbili man na chelsea sasa jiulize kama Lukaku was the best kwann nyie man mliyltoa priority kwa Morata kabla ya kuzinguliwa na Madrid ndio mkaufyata mkachukua sec option ya lukaku...elewa mkuu kuwa Morata was and is the best as this time we are writting here..now

Kuhusu records za lukaku na morata wala huwez linganisha maana kabla ya kuwalinganisha lazima uchek wamecheza how many minites na sio idadi ya gemu, pia morata amecheza mechi chache na dk chache kutokana na kuzungukwa na magwiji akina ronaldo na benzema ila kama akiwekwa kwenye timu pekeake pale mbele kama na streaker wa pekee utaona impact yake..
We mkuu subiri uone mambo yake The-Bluuz kisha urudi hapa ucomment..
Mkuu uliongea ukweli akirudi mwambie huyu ndiyo morata
 
mi naona kama vile wote its fair deal kwa timu zote, morata angekuwa na hatari ya kutoshine MAN UTD kutokana na mfumo wa mou wa kujilinda kumiliki mpira kwa mda na kutumia counter attack huku akiwa na mshambuliaj mmoja mbele, remember chelsea ya drogba, na MAN haina viungo kama aina ya chelsea ya ss waliopo at least kwa miaka miwili nyuma ingawa wanaendelea kupanda viwango.

MORATA angekuja MAN ndo ingekuwa gambling zaid kuliko LUKAKU kwan at least LUKAKU primer league experiences inambeba, so MORATA kwenda chelsea ni sahihi zaid na LUKAKU kwenda MAN UT its a perfect combo, kutokana na caliber ya wachezaji waliopo kwenye timu zote mbili, nafikiri Mou aliliona hilo ndoomaana akaamua kustick kwa Lukaku kama Morata angekuwa cheap Mou angeweza kurisk kumleta Morata Man u an angesajili strike mwingine kama cover au angebadili mfumo ila sababu bei hazipishan sana akaona bora abaki na huyu mwenye experience,

kwa chelsea wote sawa angekuwa lukaku ama morata ingawa conte inaonekana alimtaka lukaku zaidi kwa sababu anajua beki za england zilivyo aggressive

haijalish wanasemaje ila chelesea first choice ilikuwa lukaku same to man u ila mou alihis atampata morata in a cheap deal compare na lukaku ambapo alijua gharama zitakuwa kubwa kwani inajulikana vilabu ya england haijalish ni ndogo kias gan ila kama mchezaji wao anatakiwa na timu za mle ndani hasa bg four bas lazima dau liwe kubwa kwani ni direct opponent
Atleast umeongea points.....!!! Umefanya analysis nzuri sana.
 
Mkuu uliongea ukweli akirudi mwambie huyu ndiyo morata
nimerudi mkuu na post yangu imetokea exactly kama nilivyosema, ngoja ni summarise
-nilisema man utd wanahitaji zaidi mfungaji na sio mchezeaji mpira
-man utd wana watengeneza nafasi wazuri zaidi hivyo lukaku anafaa zaidi kuliko moratta

haya tuangalie stats
-lukaku ana goli 10 mechi 9 average 1.1 goal per match
-Morata ana goli 7 mechi 7 average goli 1

hivyo lukaku amethibitisha zaidi ni mfungaji mzuri zaidi ya morata mpaka sasa hivi.

na mkhitariyan kawaacha mbali kwenye chart ya assist ana pasi tano za magoli hadi sasa, kuprove point ya tunao watengenezaji, hapo bado pogba, martial etc

ukija overall play mtandao maarufu wa whoscored umemrate lukaku msimu huu na point 8.17 compare na 7.49 za morata.

https://www.whoscored.com/Players/78498/Show/Romelu-Lukaku
https://www.whoscored.com/Players/91213/Show/Álvaro-Morata
 
Kwa ni Wenger hakumpanga Lacazette from the start? Was it a tactical decision kumweka bench your most expensive player and leading goal scorer?

Lakaku alikuwa kimya sana jana. Only one touch in the penalty box. Does this reinforce the argument that Lakaku haperform kwenye mechi kubwa? Au alikuwa hapati service? Au Chelsea defence was better?

As for Morata, he scored and also missed another. He played better and appeared to be stronger kulinganisha na mechi za nyuma.

Bado ni mapema kujua nani zaidi, japokuwa naona kama Wenger hamtumii Lacazette ipasavyo. Mfano, alivyoingia Giroud ilibidi Lacazette acheze pembeni.
 
nimerudi mkuu na post yangu imetokea exactly kama nilivyosema, ngoja ni summarise
-nilisema man utd wanahitaji zaidi mfungaji na sio mchezeaji mpira
-man utd wana watengeneza nafasi wazuri zaidi hivyo lukaku anafaa zaidi kuliko moratta

haya tuangalie stats
-lukaku ana goli 10 mechi 9 average 1.1 goal per match
-Morata ana goli 7 mechi 7 average goli 1

hivyo lukaku amethibitisha zaidi ni mfungaji mzuri zaidi ya morata mpaka sasa hivi.

na mkhitariyan kawaacha mbali kwenye chart ya assist ana pasi tano za magoli hadi sasa, kuprove point ya tunao watengenezaji, hapo bado pogba, martial etc

ukija overall play mtandao maarufu wa whoscored umemrate lukaku msimu huu na point 8.17 compare na 7.49 za morata.

https://www.whoscored.com/Players/78498/Show/Romelu-Lukaku
https://www.whoscored.com/Players/91213/Show/Álvaro-Morata
Mkuu uwezi kumlinganisha morata lukaku ata siku moja huyu lukaku ameisaidia nn everton paka kaondoka tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom