Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Luhanjo ni mtumishi chini ya rais wa nchi ambaye ni mwenyekiti wa vikao vya cabinet. Pia Luhanjo kama katibu mkuu anagopa kuwajibishwa kwa kuvuja kwa taarifa za siri za vikao vya cabinet hivyo kwa namna yoyote ni lazima atafute namna ya kujisafisha ila ukweli unabaki pale pale kuwa hawataweza kuwaziba midomo 6 na Mwakyembe labda kwa kuwatanguliza mbele za haki tu.