Hebu fikirieni watu wenye akili kama za Luhanjo ndio wapo ikulu wanamshauri; it is real dangerous for our emerging democracy.Philemon Luhanjo amemtaka mkurungenzi wa Halmashauli Njombe na watendaji wote wa serikali kudhibiti wapinzani kualikwa kama wageni rasmi
Hizo shule za sekondari ni za Luhanjo? au za baba yake Luhanjo? au za ukoo wake Luhanjo? Luhanjo anatoa wapi mamalka ya kuzuia watu kualika wanayeona anafaa? Siasa za ubaguzi ni jambo hatari kabisa na Luhanjo kama na akili timamu angerekebisha hii kauli kabla mambo hayajaharibika. Haikubaliji hata kidogo kwa kiongozi wa level ya Luhanjo kuhubiri ubaguzi kama huu?Philemon Luhanjo amemtaka mkurungenzi wa Halmashauli Njombe na watendaji wote wa serikali kudhibiti wapinzani kualikwa kama wageni rasmi