Luhanga akatwa mguu wapili;tanesco wamkana live

Eti Tanesco wanafuatwa kueleza Hali ya kiafya ya mstaafu wao.Siwaende kwa wanafamilia hawa lazima watakuwa Tanzania Daima manake waandishi wake hawashirikishi ubongo kabisa
 
Kwa taarifa hiyo inaonyesha hata ile kumtembelea, kujulia hali haipo. Si lazima msaada wa kipesa, Tupendane maana nasi tuwastaafu watarajiwa. Serikali inatakiwa iwe na kitengo cha mahusiano kwa wastaafu ili kufuatilia afya/hali ya wastaafu wake, bado ni hazina kubwa kwa kutoa ushauri.

Lets say TANESCO wamemtembelea na kumjulia hali.

Kwa nini mnataka wajibu swali la afya ya mtu binafsi? Mtu ambaye hata si muajiriwa wao?

Kwa nini mnafikiri hata kama habari wanazo TANESCO, Luhanga na familia yake wanapenda afya ya mgonjwa wao iongelewe na TANESCO? Au iongelewe kwenye magazeti at all?
 
Kwa nini waandishi wanafikiri ni sahihi kwa msemaji wa TANESCO kusema lolote kuhusu afya ya mtu? Hususan kama mtu mwenyewe si mfanyakazi wa TANESCO?

Kwa nini kuna mentality kwamba ukifanya kazi sehemu itakuhudumia mpaka kufa?

inaonekana ktk jamii yetu kuna tatizo ... lakini tunashindwa kueleza tatizo lilivyo na jinsi ya kulitatua... mimi nilidhani mtoa habari angelisema kuwa walikwenda kuuliza kwenye taasisi za social security , ambazo ndo haswa zinatakiwa zitulee tupatwapo na matatizo.

ki ukweli kwa tanzania ... kila aliye mkurugenzi hayaoni haya kwani wakati wa ukurugenzi yeye anakuwa kully covered hata kuweka meno ya gold kwa gharama za serikali au shirika. tunasahau tukistaafu hatuna mlezi tena. sasa wakati umefika kwa sisi sote tuangalie namna gani tunaaandaa maisha yetu haswa kwa kipindi tukiwa uwezo wa kuzalisha umepungua au kupotea
 
inaonekana ktk jamii yetu kuna tatizo ... lakini tunashindwa kueleza tatizo lilivyo na jinsi ya kulitatua... mimi nilidhani mtoa habari angelisema kuwa walikwenda kuuliza kwenye taasisi za social security , ambazo ndo haswa zinatakiwa zitulee tupatwapo na matatizo.

ki ukweli kwa tanzania ... kila aliye mkurugenzi hayaoni haya kwani wakati wa ukurugenzi yeye anakuwa kully covered hata kuweka meno ya gold kwa gharama za serikali au shirika. tunasahau tukistaafu hatuna mlezi tena. sasa wakati umefika kwa sisi sote tuangalie namna gani tunaaandaa maisha yetu haswa kwa kipindi tukiwa uwezo wa kuzalisha umepungua au kupotea

Habari ya afya ya mtu itolewe na taasisi za social security?

Natilia shaka umeelewa ulichonukuu.

Kwa nini unafikiri Luhanga na familia yake wanataka habari za "miguu yake kukatwa" ziweke hapa JF for crude public consumption to satisfy an ignoble curiosity akin to a diseased glee for gladiatory gore?

Hivi tunajua habari ya faragha ya mgonjwa na haki yake ya kuachwa augue kwa amani?

Hakuna kuugua na faragha? Hakuna kuugua na dignity?
 
Pole Zake Mzee...Very sad!
BTW, nyie mlitaka TANESCO waseme nini? Wewe ukistaafu taarifa zako ziende kutafuta nini ofisi isiyo yako tena, au ofisi ni ya Baba yako? Watu wana kazi za kufanya, siyo kufuatilia aliyekuwa mkuu wao anafanya nini sasa hivi. TANESCO hawajamkana Luhanga, wao wamesema hawafahamu kama anaumwa, na huyo mwandishi wa habari alienda kutafuta habari za ugonjwa wa Luhanga TANESCO!!!!!?...Hata Luhanga mwenyewe hatafurahishwa na kitendo cha mwandishi huyo.

Mzee Luhanga ni Mjumbe wa Bodi ya TANESCO.
 
kuna kiongozi mmoja yeye alipoingia madarakani alianza kwa kuboresha MAGEREZA. ukiwa mtumishi wa umma na umeshika madaraka makubwa TAFADHALI boresha GEREZA kila kiongozi ulipo tafakari kwako GEREZA nini? ukilitambua liboreshe ili kesho yakikukumba machungu ya gereza yasiwe haya ya sasa. WITO VIONGOZI WETU BORESHENI MAGEREZA kila eneo la kazi lapaswa kuboreshwa.
 
NDUGU ZANGUNI
NAOMBA NIANZE KUWAPA POLE FAMILI YA B.LUHANGA ALIEWAHI KUWA MKURUGENZI WA TANESCO KWA
KUKATWA MGUU WA PILI KWA SABABU YA KISUKARI HUKO INDIA

B.LUHANGA ALIKUWA MKURUGENZI WA TANESCO NA BAADA YA KUSTAAFU ALIANZA KUSUMBuLIWA NA KISUKARI
ALIPATA SHIDA SANA PALE ALIPOMPOTEZA MWANAYE...

MH LUHANGA ALIENDA INDIA KUTIBIWA ZAIDI HUKU AKIWA AMEKATWA TAYARI MGU MMOJA NDIPO ILIPOFANYIKA
UAMUZI WA KUKATA MGUU MWINGINE

HAA HIVYO ALIPOULIZWAKAIMU MKURUGENZI WA TANESCO KUHUSU HALI YA MZEE LUHANGA ALISEMA HAJUI CHOCHOTE ANACHOJUA ALISHAASTAAFU SO HANA MAWASILIANO ZAIDI..MSEMAJI WA TANESCO BBR HASSANA NAE ALISEMA HANA TAARIFA YOYOTE KUHUSU MZEE LUHANGA ZAIDI YA KUJUA KIPINDI FULAN ALIKUWA ANAUMWA

MUNGU AMPE UVUMILIVU NA KUKUBALI HALI HALISI ALIYONAYO MZEE WETU LUHANGA NAJUA KWA FAMILIA NI VIGUMU LAKINI NI WAKATI WA KUWAOMBEA WOOTE WANAOUMWA UGONJWA HUU MUNGU AWAPE KUWASITIRI NA MAUMIVU MAANA KISUKARI IMEKUWA HATARI KULIKO HATA MAGONJWA MENGINE

Habari sijaielewa vema ila hapo kwenye red sijaelewa kabisa, kwani Badra Masoud si msemaji wa tanesco tena siku hizi?
 
Back
Top Bottom