Luhaga Mpina: Katiba iliyopo ina matobo ndio maana Viongozi kama Waziri wa Fedha wanalichezea Bunge. Viongozi wasiteuliwe bali wafanyiwe Usaili

Farolito

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
11,634
26,373
Wakuu,

Leo tarehe 09.02.2023 Luhaga Mpina akihojiwa katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM amesema kwamba dharau anazoonesha Waziri wa Fedha Mwigulu Nchembe dhidi ya wabunge ni matokea ya matobo ya Katiba ambayo yanatakiwa kushughulikiwa.

"Waziri anaulizwa maswali anajibu anavyotaka kwamba nyinyi mkajadili Unganga,sijui Mimi nimesomea PhD sijapewa,haya yote ni udhaifu wa Katiba.

Pia aliendelea kuhoji kwanini mpaka sasa hakuna ratiba ya kujua Katiba inapatikanaje," Mpaka sasa ilitakiwe tuwe na jopo la wataalamu wawe wameanza kupitia Katiba Mpya kujua wapi pa kufanya marekebisho"alisema.

Pia alisisitiza kwamba Viongozi wasiteuliwe kwa kuangalia alisoma wapi na wapi au alipata A na B ndio maana tunapata Viongozi wasio na sifa kwa kuangalia vyeti pekee.

"Hili la kuteua tu mtu kwa kuangalia alisoma chuo fulani na chuo fulani au alipata A kweye cheti kisha unamteua ndio inafanya tunapata incompetent leaders,lazima tuanze kufanya usaili" Alisema.

Maoni yangu;
Hapa nawapongeza CHADEMA kwa kuipigania Katiba kwa maumivu naona somo lenu limeanza kueleweka kwa wana CCM
 
Wakuu,

Leo tarehe 09.02.2023 Luhaga Mpina akihojowa katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM amesema kwamba dharau anazoonyesha Waziri wa Fedha Mwigulu Nchembe dhidi ya wabunge ni matokea ya matobo ya Katiba ambayo yanatakiwa kushughulikiwa.

"Waziri anaulizwa maswali anajibu anavyotaka kwamba nyinyi mkajadili Unganga,sijui Mimi nimesomea PhD sijapewa,haya yote ni udhaifu wa Katiba.

Pia aliendelea kuhoji kwanini mpaka sasa hakuna ratiba ya kujua Katiba inapatikanaje," Mpaka sasa ilitakiwe tuwe na jopo la wataalamu wawe wameanza kupitia Katiba Mpya kujua wapi pa kufanya marekebisho"alisema.

Pia alisisitiza kwamba Viongozi wasiteuliwe kwa kuangalia alisoma wapi na wapi au alipata A na B ndio maana tunapata Viongozi wasio na sifa kwa kuangalia vyeti pekee.
"Hili la kuteua tu mtu kwa kuangalia alisoma chuo fulani na chuo fulani au alipata A kweye cheti kisha unamteua ndio inafanya tunapata incompetent leaders,lazima tuanze kufanya usaili" Alisema.

Maoni yangu;
Hapa nawapongeza Chadema kwa kuipigania Katiba kwa maumivu naona somo lenu limeanza kueleweka kwa wana CCM
Naona kwa mbali kama anakujakuja huyu Mpina, ila aangalie madelu asije akamlisu
 
Wakuu,

Leo tarehe 09.02.2023 Luhaga Mpina akihojiwa katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM amesema kwamba dharau anazoonesha Waziri wa Fedha Mwigulu Nchembe dhidi ya wabunge ni matokea ya matobo ya Katiba ambayo yanatakiwa kushughulikiwa.

"Waziri anaulizwa maswali anajibu anavyotaka kwamba nyinyi mkajadili Unganga,sijui Mimi nimesomea PhD sijapewa,haya yote ni udhaifu wa Katiba.

Pia aliendelea kuhoji kwanini mpaka sasa hakuna ratiba ya kujua Katiba inapatikanaje," Mpaka sasa ilitakiwe tuwe na jopo la wataalamu wawe wameanza kupitia Katiba Mpya kujua wapi pa kufanya marekebisho"alisema.

Pia alisisitiza kwamba Viongozi wasiteuliwe kwa kuangalia alisoma wapi na wapi au alipata A na B ndio maana tunapata Viongozi wasio na sifa kwa kuangalia vyeti pekee.

"Hili la kuteua tu mtu kwa kuangalia alisoma chuo fulani na chuo fulani au alipata A kweye cheti kisha unamteua ndio inafanya tunapata incompetent leaders,lazima tuanze kufanya usaili" Alisema.

Maoni yangu;
Hapa nawapongeza CHADEMA kwa kuipigania Katiba kwa maumivu naona somo lenu limeanza kueleweka kwa wana CCM
Mwigulu Nchemba ni idiot minister
 
Alipokuwa waziri wa Jiwe aliwahi kushari haya.

Huyu mnafiki sana, TENA amepungukiwa akili.
Zumbukuku.

Hawa ndio watu Walipokuwa wanamuabudu Binadamu na si Mungu.

MASIKINI TANZANIA YANGU.
Stick to the lane. Usihame nje ya beat,hoja ni katiba,mambo ya enzi ya jiwe yalishapita. Tanzania inajitaji katiba kuliko jambo lolote kwa Sasa.

Unafiiki wake tutaujadili katika topic ya unafiki,hii ni mada ihusuyo katiba mkuu.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Leo tarehe 09.02.2023 Luhaga Mpina akihojiwa katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds FM amesema kwamba dharau anazoonesha Waziri wa Fedha Mwigulu Nchembe dhidi ya wabunge ni matokea ya matobo ya Katiba ambayo yanatakiwa kushughulikiwa
Huyu jamaa ni kama amesimama nje ya walamba asali
 
Alipokuwa waziri wa Jiwe aliwahi kushari haya.

Huyu mnafiki sana, TENA amepungukiwa akili.
Zumbukuku.

Hawa ndio watu Walipokuwa wanamuabudu Binadamu na si Mungu.

MASIKINI TANZANIA YANGU.
Ni maoni yake,amegundua Katiba ni muhimu baada ya kuona uozo
 
Alipokuwa waziri wa Jiwe aliwahi kushari haya.

Huyu mnafiki sana, TENA amepungukiwa akili.
Zumbukuku.

Hawa ndio watu Walipokuwa wanamuabudu Binadamu na si Mungu.

MASIKINI TANZANIA YANGU.
Herding behavior is an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of group objectives or fear, 'in his case feared his leader'. Herding behavior: ni unyumbu ama kujitoa ufahamu, kama Taifa tubalidilike tunapopewa dhamana tusijitoe ufahamu kwasababu ya kuogopa viongozi wetu matokeo yake tutashindwa kutekeleza majukumu yetu ipasavyo ama kwa weledi
 
Hili la kuteua tu mtu kwa kuangalia alisoma chuo fulani na chuo fulani au alipata A kweye cheti kisha unamteua ndio inafanya tunapata incompetent leaders,lazima tuanze kufanya usaili" Alisema.
Huyu bwana kauli yake ya kusema phd yake "'siyo ya heshima bali ya darasani"
Niliona hiyo kauli kuna watu imewakosea adabu,japo wanauwezo wa kumpa au kumnyima hiyo nafasi ya kuwananga jukwaani.Lakini kwa kuwa nimeliona mimi tuu
naomba tuwe watulivu. tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka.
 
Back
Top Bottom