Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Ukiangalia Filamu nyingi za Bongo matumizi sahihi na anuai ya Lugha ya Kiswahili hayapo. Tatizo hili linaweza kutokana na Filamu hizi kutokutumia andiko la Filamu "Script" na badala yake wanatumia muongozo wa Filamu ambao umejaa ni nini kitatokea kwenye Filamu.
Ninachokizungumza ni kule kutokujua kwamba Lugha husawiri au huleta tafisiri ya maisha halisi ya jamii husika. Inawezekanaje kwa mhusika wa kike kwenye Filamu amwambie mwanawe wa kike kwamba "usimwamini mwanaume hata akiwa baba yako mzazi" hivi kweli hii inasawiri maisha halisi ya watanzania?
Matamshi yao na unyoofu wa Lugha unakatiksha tamaa sana.
Ninachokizungumza ni kule kutokujua kwamba Lugha husawiri au huleta tafisiri ya maisha halisi ya jamii husika. Inawezekanaje kwa mhusika wa kike kwenye Filamu amwambie mwanawe wa kike kwamba "usimwamini mwanaume hata akiwa baba yako mzazi" hivi kweli hii inasawiri maisha halisi ya watanzania?
Matamshi yao na unyoofu wa Lugha unakatiksha tamaa sana.