JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,823
- 14,170
Kwema wakuu,natafuta sehemu au chuo,kinacho fundisha lugha za asiri za hapa TZ,
nataka kujifunza kimasai,kichaga na kigogo,kwa anaye jua wapi nitapata msaada wa lugha hizo,naomba taharifa.nipo Arusha kwa sasa.
nataka kujifunza kimasai,kichaga na kigogo,kwa anaye jua wapi nitapata msaada wa lugha hizo,naomba taharifa.nipo Arusha kwa sasa.