BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,743
- 4,224
SAA 12 asubuhi.
BABA;- baba, unaamka sasa hivi au unalala lala kidogo..
MTOTO;- Hapana baba nimechoka
ntaamka saa 5 jana nilichelewa kulala nilikua naangalia PRISON BREAK season 5, kumbe michael scofied hakufa.
BABA;- Haya baba basi kuna elfu 30 nimemuachia mama ako kama utajiskia kutoka utaitumia kama nauli na mimi ntaiangalia baadae iyo season.
MTOTO;- Baba si uniachie zile funguo za rav4!!
BABA;- Haina tatizo utaenda kuchukua pale chumbani kwangu usipoziona mwambie mama ako akupe, halafu
sidhani kama hiyo pesa itakutosha kwa ajili ya mafuta upitie pale ofisini nikuongeze pesa.
SASA HII NDIO LUGHA KWA WALE WALIOPATA 4 NA 0
SAA 12 asubuhi.
BABA:- We nguruwe umelala tuu mpaka saa hizi ivi unajua bei ya hilo godoro mpuuzi wewe kazi kupata maziro tuu kwa kulala lala lione bichwa kama tofali, hebu amka unioshee gari niende kazini kenge wee.
BABA;- baba, unaamka sasa hivi au unalala lala kidogo..
MTOTO;- Hapana baba nimechoka
ntaamka saa 5 jana nilichelewa kulala nilikua naangalia PRISON BREAK season 5, kumbe michael scofied hakufa.
BABA;- Haya baba basi kuna elfu 30 nimemuachia mama ako kama utajiskia kutoka utaitumia kama nauli na mimi ntaiangalia baadae iyo season.
MTOTO;- Baba si uniachie zile funguo za rav4!!
BABA;- Haina tatizo utaenda kuchukua pale chumbani kwangu usipoziona mwambie mama ako akupe, halafu
sidhani kama hiyo pesa itakutosha kwa ajili ya mafuta upitie pale ofisini nikuongeze pesa.
SASA HII NDIO LUGHA KWA WALE WALIOPATA 4 NA 0
SAA 12 asubuhi.
BABA:- We nguruwe umelala tuu mpaka saa hizi ivi unajua bei ya hilo godoro mpuuzi wewe kazi kupata maziro tuu kwa kulala lala lione bichwa kama tofali, hebu amka unioshee gari niende kazini kenge wee.