Lugha ya Kikinga

Jibaba Bonge

JF-Expert Member
May 6, 2008
1,246
401
Mapembelo mwebhoni mwemukhemanyile ekhekhenga mwe mule mu litesu ele.
wakuu nimesikia kuwa eti lugha hii asili yake ni Kongo. Hebu mwenye uelewa wa asili ya lugha ya kikinga na wakinga wenyewe atufahamishe zaidi.
 
Sijui, ila hawa najua wako sana Makete na pembezoni mwa ziwa Nyasa kwenye miteremko ya Livingstone.
Kuhusu u Zairwaa hilo sina hakika nalo.
 
Lugha zote za kibantu asili yake ni huko kongo, cameroun etc, they migrated in two ways in southern kwa kuingilia zambia and some in northern wakasettle maeneo ya mkoa wa mara. Kuna makabila katika Mkoa wa Mara ambayo dialects zake zinafanana na makabila yaliyoko cameroun hata leo. Ukienda katanga-drc usishangae ukakuta wafipa huko.

This is the info about Kinga tribe.

Kinga

A language of Tanzania

Population
140,000 (2003). 57,000 in Makete District.
Region
Iringa region, Makete District, Kipengere Mountain Range.
Alternate names
Ekikinga, Kikinga
Dialects
Kinga, Mahanji.
Classification
Niger-Congo, Atlantic-Congo, Volta-Congo, Benue-Congo, Bantoid, Southern, Narrow Bantu, Central, G, Bena-Kinga (G.60)
Language use
Vigorous. Home. All ages. Positive attitude. Magoma, see themselves as a separate ethnic group. Most also use Swahili
Writing system
Latin script.
Comments
Agriculturalists: potatoes, wheat, peas, maize, and other crops. Christian, traditional religion.
 
Mkinga/Mmahanji/Muwanji na Mmagoma angalia hii kuna ukweli hapa kuwa ni asili ya DRC
 
Back
Top Bottom