Lugha ya kiingereza hata Kenya ni tatizo acheni Kujimwambafy.

Ona mkenya mwenzako alivyoandika kitu cha maana,
Wewe endelea kuandika ujinga na unajua uchumi wenu unaenda wapi pamoja na mnachofanyiwa na wachina.
hilo bandiko ni la karne ipi mbona uko nyuma hivi??? sasa hebu nionyeshe hizo treni mulizoletewa tuzione hapa sasa.
 
Hao mid income wa kimungiki wamezidi aisee,usa wamefanya kitu cha maana sana kwa kuwapa msaada kile chakula cha nguruwe,si kwa hoe hae hiyo aisee!halafu hapo ndio nairobbery huko turkana mid income sijui wako kwenye hali gani 🤣
sawa LDC
 
Tatizo Watanzania wazembe, Kiswahili chenyewe uandishi wao hutia kinyaa, Kingereza hawakijui kishawapiga chenga, lugha za asili ndio hawajui hata salamu, watu wanaishi ili siku ziende tu, hamnazo kabisa.
Watu wanaanza kufundishwa Kingereza sekondari, hapo unakuta hata msomi professa anaishia kutokujiamini na ze ze ze nyingi tu. Sema watoto wa wenye hela hupelekwa shule za kimataifa wanafundishwa kingereza wakiwa wadogo, ila wakirudi nyumbani wanawakuta wazazi ni wale wale wa ze ze ze, mtoto anakosa jinsi ya kuzoea lugha.
Watoto wa makajamba mitaani ndio hoi, wao huambiwa wagande kwenye Kiswahili eti ndio uzalendo. Kisha nafasi za kazi zikitangazwa humo kunakua na kigezo kwamba 'proficiency in English is a requirement'
 
Tatizo Watanzania wazembe, Kiswahili chenyewe uandishi wao hutia kinyaa, Kingereza hawakijui kishawapiga chenga, lugha za asili ndio hawajui hata salamu, watu wanaishi ili siku ziende tu, hamnazo kabisa.
Watu wanaanza kufundishwa Kingereza sekondari, hapo unakuta hata msomi professa anaishia kutokujiamini na ze ze ze nyingi tu. Sema watoto wa wenye hela hupelekwa shule za kimataifa wanafundishwa kingereza wakiwa wadogo, ila wakirudi nyumbani wanawakuta wazazi ni wale wale wa ze ze ze, mtoto anakosa jinsi ya kuzoea lugha.
Watoto wa makajamba mitaani ndio hoi, wao huambiwa wagande kwenye Kiswahili eti ndio uzalendo. Kisha nafasi za kazi zikitangazwa humo kunakua na kigezo kwamba 'proficiency in English is a requirement'
Umeuwa kabisa, halafu jamaa wanapigwa hatari...eti kule kwao kuna course za english(3months) baada ya hapo wanakuhakikishia utakua vizuri kabisa...

Ndio manake ukikutana na watu sampuli hyo, especially madem huaga ni mwendo wa "actually" tu..
Nadhani mkuu umeshalichuguza hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeuwa kabisa, halafu jamaa wanapigwa hatari...eti kule kwao kuna course za english(3months) baada ya hapo wanakuhakikishia utakua vizuri kabisa...

Ndio manake ukikutana na watu sampuli hyo, especially madem huaga ni mwendo wa "actually" tu..
Nadhani mkuu umeshalichuguza hilo

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani huwa naona kituko, eti 3 months utazungumza kingererza kiishe.
Hilo la "actually" lipo sana hata kwa wanaume.
 
Tatizo Watanzania wazembe, Kiswahili chenyewe uandishi wao hutia kinyaa, Kingereza hawakijui kishawapiga chenga, lugha za asili ndio hawajui hata salamu, watu wanaishi ili siku ziende tu, hamnazo kabisa.
Watu wanaanza kufundishwa Kingereza sekondari, hapo unakuta hata msomi professa anaishia kutokujiamini na ze ze ze nyingi tu. Sema watoto wa wenye hela hupelekwa shule za kimataifa wanafundishwa kingereza wakiwa wadogo.
Watoto wa makajamba mitaani ndio hoi, wao huambiwa wagande kwenye Kiswahili eti ndio uzalendo. Kisha nafasi za kazi zikitangazwa humo kunakua na kigezo kwamba 'proficiency in English is a requirement'
Kama huyu Phd holder wa kitz, mzee wa Ghaddafi ni rais wa Yemen, na kiingereza chake kibovu. Eti 'Am a politicians and I don't want to take so much time as saying so many political. Simple and clear is only congregations to you'.
 
Tatizo Watanzania wazembe, Kiswahili chenyewe uandishi wao hutia kinyaa, Kingereza hawakijui kishawapiga chenga, lugha za asili ndio hawajui hata salamu, watu wanaishi ili siku ziende tu, hamnazo kabisa.
Watu wanaanza kufundishwa Kingereza sekondari, hapo unakuta hata msomi professa anaishia kutokujiamini na ze ze ze nyingi tu. Sema watoto wa wenye hela hupelekwa shule za kimataifa wanafundishwa kingereza wakiwa wadogo, ila wakirudi nyumbani wanawakuta wazazi ni wale wale wa ze ze ze, mtoto anakosa jinsi ya kuzoea lugha.
Watoto wa makajamba mitaani ndio hoi, wao huambiwa wagande kwenye Kiswahili eti ndio uzalendo. Kisha nafasi za kazi zikitangazwa humo kunakua na kigezo kwamba 'proficiency in English is a requirement'

If wishes were horses, I could ride one. The way you speak, as if your country development is next to Singapore.
 
Kama huyu Phd holder wa kitz, mzee wa Ghaddafi ni rais wa Yemen, na kiingereza chake kibovu. Eti 'Am a politicians and I don't want to take so much time as saying so many political. Simple and clear is only congregations to you'.


Duh! Aisei kingreza huwtesa sana hawa ndugu zetu, kuanzia makajamba wa ghetto mpaka magogoni.
 
Maelfu ya Watanzania wapo nje ya Africa wakifanya Maisha huko, Wachina na Wazungu na Wahindi maelfu kwa maelfu wanafika Tanzania na Kutoka kila siku,
Hawa wakija Tanzania wanahudumiwa kwa Kiluhya?
Are they complaining that they experience communication Challenges in Tanzania?
Wajinga sana wana mentality za kitumwa,unaongea kingereza wakati unaishi kwenye Slums
 
Back
Top Bottom