Lugha Rasmi Bungeni: Wabunge watumie Kiswahili au Kiingereza

nakubaliana na wewe, lazima tujifunze lugha za kigeni angalau moja kwa kila mtu, mtu kuwa na uwezo wa uelewa bila lugha tayari ni mapungufu, tuyaondoe, unadhnai kwa nini watu wanakimbilia kupeleka watoto wao kwenye shule za kimombo, ni ili wapate exposure ya language na mengineyo, hilo sasa la hao watoto kutoweza ku perform academically ni uvivu na usharobaro wao wenyewe, hivi ni lini unadhnai kiswahili kitakuwa lugha ya kimataifa, nadhani itachukua muda kidogo, kwa hiyo wakati tukisubiri hayo yatokee sisi tuendelee kumwaga ung'eng'e.

Nashangaa sasa hivi watu wako busy kubadili majina ya vitu vya wazungu kuwa kiswahili hebu angalia hapa chini kwanza:

Decorder=king'amuzi
Television=Runinga
Refridgerator=jokofu
Calculator= kolokotoa
Monopoly=ukiritimba
bureaucracy=umangimeza
Glass=bilauri
feedback=usuli
Guidelines=hadidu za rejea
na mengine mtaongezea mkiyakumbuka

Hivi ni mangapi kati ya haya maneno yanatumika, nasikia mpaka masomo ya sayansi wanataka kuyafundisha kiswahili, unajifunza urubani kwa kiswahili ukiingia kwenye cockpit unakuta instruments zote zimeandikwa kizungu. unafanyaje, jifunzeni kimombo shauri yenu.

bureaucracy ni urasimu sio umangimeza.
 
ndio maana mrema aliamua kwenda shule ili akiwa rais asijeshindwa kuongea na bush na Tony Brair enzi hizo, msiganganie, kiingeleza muhimu sana ona katika taaruma ya uandishi hasa magazeti ya kingeza wakenya walvyotawala, wewe unayesema kuwa kiingeleza ni mawazo ya kikoloni mbona unampeleka mwanao english media, acha hizo mbunge angalau awe amesoma mpaka kidato cha sita yasijemtokea haya!!!!
 
ndio maana mrema aliamua kwenda shule ili akiwa rais asijeshindwa kuongea na bush na Tony Brair enzi hizo, msiganganie, kiingeleza muhimu sana ona katika taaruma ya uandishi hasa magazeti ya kingeza wakenya walvyotawala, wewe unayesema kuwa kiingeleza ni mawazo ya kikoloni mbona unampeleka mwanao english media, acha hizo mbunge angalau awe amesoma mpaka kidato cha sita yasijemtokea haya!!!!

Jamaa ni GRADUATE wa Mzumbe!
 
Kilaza ni kilaza tu,hata kama angeulizwa kwa lugha ya kwao,angechemka tu,wabunge wa kubebwa.

Atakuwa na elimu ya madrasa tu huyu, mnywa kahawa mkubwa, na atakuwa amezaliwa pwani tu huyu, hebu mliomuona akiongea tujuzeni hakuwa amevaa barakashia. au anazani amealikwa kwenye pilau haa haaa haaa.

Ingawa sipendi viongozi wetu kujilazimisha kuwasilisha mada kwa kimombo ambacho mtu anaongea bila hata hisia na anachokitamka ila kwa ishu hii kuna ujumbe wa uvivu unapatikana kutoka kwa huyu jamaa.
 
Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.


Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!

Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
Jibu:Watara is president

jamaa akapigwa swali tena
Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)

hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all

Jamani Bunge tamu!


wakome hawa CCM wanadhani kila post ni kurukia!!!! na hii iwe fundisho, tunataka tufike sehemu watu wapate kazi kwa credentials not otherwise!!!tetetetetetetehetehetehete!!!!
 
Atakuwa na elimu ya madrasa tu huyu, mnywa kahawa mkubwa, na atakuwa amezaliwa pwani tu huyu, hebu mliomuona akiongea tujuzeni hakuwa amevaa barakashia. au anazani amealikwa kwenye pilau haa haaa haaa.

Ingawa sipendi viongozi wetu kujilazimisha kuwasilisha mada kwa kimombo ambacho mtu anaongea bila hata hisia na anachokitamka ila kwa ishu hii kuna ujumbe wa uvivu unapatikana kutoka kwa huyu jamaa.

..mmmh!
 
Inawezekana kuna point, lakini kuna wakalimani ambao kazi yao ni kuondoa kikwazo cha lugha, na uwakilishi hautakiwi kuwekewa vikwazo vya lugha. Kinachotakiwa ni uwezo wa uwakilishi. Ukiangalia bungei kwetu kuna wabunge wengine kazi yao ni kuhudhuria tu na si kuwakilisha. So what matters most ni uwezo wa uwakilishi na kuondoa vikwazo vya lugha. Si kuongea kiingereza.<br />
<br />
It is absolutely stupid to think that inability to express in English is a tragedy and shame, unless you there is something wrong in your head. We have so many people in Tanzania who are very fluent in English and speak like someone in oxford, but what they utter is absolutely crap. Kuna vijana wa clouds walikuwa wanaongea vizuri sana kiingereza lakini walikwenda chuo Kikuu mlimani wali-disco uwezo wao ulikuwa kuongea kiingereza tu, lakini kichwani hakuna kitu.We have plenty people who can not even express themselves well in Kiswahili, but they are are full of intellect and wisdom, hata ukisikiliza sentensi moja tu wanaongea utajua kuwa ni mtu mwenye akili timamu anaongea. <br />
<br />
Try to listen Medvedev speak English or Hugo Chavez for that matter, unaweza kuona hata huyo mbunge yuko better. I may be wrong, lakini sioni kama kujua au kutojua kiingereza ni aibu.
<br />
<br />


Kwa hiyo akipatikana Mtu ambaye ni Mahiri katika Kiingereza na ana uwezo wa Uwakilishi hapo Vp? Hata kama kuna mkalimani bado haiondoi haja ya mtu kuwa na uelewa mzuri wa Kiingereza!
Kama kungekuwa hamna watu wanaoweza Kiingereza na Uwakilishi hapo sawa tungeokota yeyote na kumtuma lakini sidhani kama hawapo,WAPO! KAMA LUGHA HAIPO,ARIDHIKE TU NA DODOMA!!
 
jamni kajitahidi, kiingereza ni cha wenyewe, lugha yetu kiswahili, mbona kiswahili tunakosea sana, tu na wala hampigi kelele? lugha za watu tu ndo shida.
 
<br />
<br />


Kwa hiyo akipatikana Mtu ambaye ni Mahiri katika Kiingereza na ana uwezo wa Uwakilishi hapo Vp? Hata kama kuna mkalimani bado haiondoi haja ya mtu kuwa na uelewa mzuri wa Kiingereza!
Kama kungekuwa hamna watu wanaoweza Kiingereza na Uwakilishi hapo sawa tungeokota yeyote na kumtuma lakini sidhani kama hawapo,WAPO! KAMA LUGHA HAIPO,ARIDHIKE TU NA DODOMA!!

i love this
 
Hajui hata nini UN walikubaliana na walifanya pale Libya, kwa kifupi si tu kashindwa kujieleza kwa ung'eng'e ila uelewa wake juu ya mambo ya kimataifa upo chini sana

Kama hilo la Umoja wa Mataifa waliamua nini kuhusu Libya hakulijua, basi hilo kwangu ndo hoja ya msingi. Lakini la kutokujua kujieleza vizuri kwa lugha ya Kiingereza wala si hoja.
 
nakubaliana na wewe, lazima tujifunze lugha za kigeni angalau moja kwa kila mtu, mtu kuwa na uwezo wa uelewa bila lugha tayari ni mapungufu, tuyaondoe, unadhnai kwa nini watu wanakimbilia kupeleka watoto wao kwenye shule za kimombo, ni ili wapate exposure ya language na mengineyo, hilo sasa la hao watoto kutoweza ku perform academically ni uvivu na usharobaro wao wenyewe, hivi ni lini unadhnai kiswahili kitakuwa lugha ya kimataifa, nadhani itachukua muda kidogo, kwa hiyo wakati tukisubiri hayo yatokee sisi tuendelee kumwaga ung'eng'e.<br />
<br />
Nashangaa sasa hivi watu wako busy kubadili majina ya vitu vya wazungu kuwa kiswahili hebu angalia hapa chini kwanza:<br />
<br />
Decorder=king'amuzi<br />
Television=Runinga<br />
Refridgerator=jokofu<br />
Calculator= kolokotoa<br />
Monopoly=ukiritimba<br />
bureaucracy=umangimeza<br />
Glass=bilauri<br />
feedback=usuli<br />
Guidelines=hadidu za rejea<br />
na mengine mtaongezea mkiyakumbuka<br />
<br />
Hivi ni mangapi kati ya haya maneno yanatumika, nasikia mpaka masomo ya sayansi wanataka kuyafundisha kiswahili, unajifunza urubani kwa kiswahili ukiingia kwenye cockpit unakuta instruments zote zimeandikwa kizungu. unafanyaje, jifunzeni kimombo shauri yenu.
<br />
<br />



Kaka upo sawa kabisa,Kiingereza bado kipo juu na hakiepukiki hasa kwa watu masikini!
Kuna Hekima katika kujifunza Lugha ya MATAJIRI! Beggers cant be Choosers,Kiswahili bado,Maendeleo ya Lugha wakati Mwingine uende sanjali na maendeleo ya Taifa Husika!
Kwanza tumalizane na Maleria ndiyo tuhangaike na Lugha,natazamia mijadala kuhusu kutumia kiswahili ianze miaka 50 kutoka leo!

Nevertheless,There are a few corrections in ur list of vocabulary:

Usuli = Background

Hadidu za Rejea = Terms of Reference

Urasimu = Bureaucracy

Pamoja Sana,Kiingereza Oyeeeee!!
 
Inawezekana kuna point, lakini kuna wakalimani ambao kazi yao ni kuondoa kikwazo cha lugha, na uwakilishi hautakiwi kuwekewa vikwazo vya lugha. Kinachotakiwa ni uwezo wa uwakilishi. Ukiangalia bungei kwetu kuna wabunge wengine kazi yao ni kuhudhuria tu na si kuwakilisha. So what matters most ni uwezo wa uwakilishi na kuondoa vikwazo vya lugha. Si kuongea kiingereza.

It is absolutely stupid to think that inability to express in English is a tragedy and shame, unless you there is something wrong in your head. We have so many people in Tanzania who are very fluent in English and speak like someone in oxford, but what they utter is absolutely crap. Kuna vijana wa clouds walikuwa wanaongea vizuri sana kiingereza lakini walikwenda chuo Kikuu mlimani wali-disco uwezo wao ulikuwa kuongea kiingereza tu, lakini kichwani hakuna kitu.We have plenty people who can not even express themselves well in Kiswahili, but they are are full of intellect and wisdom, hata ukisikiliza sentensi moja tu wanaongea utajua kuwa ni mtu mwenye akili timamu anaongea.

Try to listen Medvedev speak English or Hugo Chavez for that matter, unaweza kuona hata huyo mbunge yuko better. I may be wrong, lakini sioni kama kujua au kutojua kiingereza ni aibu.

Tukubali tukatae, ni aibu kwetu kupeleka mtu ambaye hajui kiingereza kutuwakilisha. English kwetu ni second national language na tumeitumia mashuleni kuanzia darasa la tatu atleast kwa sisi tuliosomea public schools. Kama lugha ya Malikia haipandi ufaahamu wako wa mambo kwa nchi kama yetu utakuwa mgumu. Actullay lugha kutokpanda ni kithibitisho tosha kuwa elimu ni ndogo. Kufanya siasa za nchini ampako umekulia si sawa na kufanya siasa za kiamataifa. Siasa za kimataifa zinatakiwa uelewa wa hali ya juu. Kutulinganisha na nchi kama China au Russia ni makosa kwa vile wenzetu hawaitumii hii lugha kwenye elimu yao, sisi tunaitumia.

Kama lugha sa tatizo kwa nini kila mtu mwenye uwezo anajitahidi kumpeleka mtoto wake asome english medium siku hizi??Kwa nini vigogo wanasomesha watoto wao nje??

Kama tunaamua kutumia kiswahili 100 % then hata miswada iletwe kwa kiswahili. Mimi niliwahi kufanya kazi serikalini. Interview ya kuingia kule ilikuwa ya kingereza na Kiswahili. Hii inamaanisha kuwa Kingereza ni lugha ya Taifa.
 
..kama uwezo wetu wa Kiingereza ni mdogo bora tu-fight ili kiswahili kiwe ni moja ya lugha za mawasiliano huko kwenye mabunge ya SADC,EA,na AU.

..wawakilishi wetu watatetea kwa umahiri zaidi maslahi yetu kama watafanya hivyo katika lugha ya Kiswahili, kuliko Kiingereza ambacho hawakielewi vizuri.
 
Ndugu hukufatilia bunge, kunakifungu kilisomwa kinacholazimisha mgombea kujieleza kwa kiingereza kwa sababu , anapotarajia kuwakilisha nchi mambo yanaendeshwa kwa ligha hiyo, mi naona sawa tu angalau wajulikane hapahapa kama ni tuition waanze mapema

Niliangalia bunge kwa makini, si kweli kwamba lugha inayotumika kwenye bunge la pan african ni english pekee bali pia arabic, french, spanish, portuguese na kiswahili lakini kanuni ya bunge la TZ inataka anaegombea nafasi hiyo atumie english katika kuomba nafasi hiyo licha ya kuwa akienda kwenye bunge la PA anaweza kutumia kiswahili au lugha nyingine nilizotaja. Lakini nadhani kutokana na hali iliyojitokeza kanuni hiyo yaweza kubadilishwa ili lugha yeyote kati ya hizo iweze kutumika ndani ya bunge la tz. katika kuombea kura kwa nafasi hiyo
 
Nimeona michango mingi humu ndani ya Jf juu ya Wabunge kupata shida na Lugha hii ya Mkoloni.Mh. Luhaga Mpina kawa mfano kwa kuvunja ndani ya Bunge.Nawambieni jamani japo si dhambi ama ujinga kutokujua kingereza lakini kuna Wabunge wengi humo ni balaa.Huyo ngosha kajitoa muanga kuwakilisha wenzie wengi nashauri apewe "big up".Sihitaji kuwataja kwa majina ila kuepuka unafiki mpate Vicent Nyerere (MP-Musoma Mjini) huyo wa kisesa (Mpina) ni cha "mdori".

Mh.Mpina lakini ni msomaji Novel za kingereza mzuri sasa huwa anasoma na kuelewa nini kama lugha ni tete?,au hiyo PAP haikuwa rizki kwake.
 
Kama kweli hii matata kabisa. Lakini Msukuma huyo sishangai

wewe kabila gani mkuu vile?maana kithungu kwa mtanzania yeyote asieenda shule kinagonga ukokoni na ukisema msukuma, pole sana ndugu yangu au wewe ulisomeaga zile za mafisadi? ST.Marys and so?
 
Back
Top Bottom