Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.
Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!
Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
Jibu:Watara is president
jamaa akapigwa swali tena
Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)
hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all
Jamani Bunge tamu!
Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!
Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
Jibu:Watara is president
jamaa akapigwa swali tena
Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)
hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all
Jamani Bunge tamu!