Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Siku moja niko na rafiki yangu tunasafiri mjini Kampala mara tukafika kituo cha kushuka tukashuka na kumpa konda pesa akawa ana chenji yakuturudishia akatwambia.. K.u.ma hao..dah nikasema what? Jamaa akaomba chenji akaturudishia.
Mara jioni tukaenda fanya zoezi soccer sehemu moja inaitwa sharing wakati ninapangwa namba jamaa..akanionesha sehem ya kusimama nakusema ..k.u.ma hao..duh mechi ikaanza basi nikawa naambiwa ..hivyo ..k.u.ma hoyo na k.u.ma hao..mzee basi nikadhani yule konda yupo uwanjani na ndo amewambia hilo neno duh k.u.ma hao ...k.u.ma hoyu usishangae ukienda kwa M7.
Mara jioni tukaenda fanya zoezi soccer sehemu moja inaitwa sharing wakati ninapangwa namba jamaa..akanionesha sehem ya kusimama nakusema ..k.u.ma hao..duh mechi ikaanza basi nikawa naambiwa ..hivyo ..k.u.ma hoyo na k.u.ma hao..mzee basi nikadhani yule konda yupo uwanjani na ndo amewambia hilo neno duh k.u.ma hao ...k.u.ma hoyu usishangae ukienda kwa M7.