Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 28,808
- 39,013
Kutumia lugha ngumu za mapenzi kwa wapendanao kunadumisha, kuimarisha na kusisimua katika mapenzi. Ukitumia lugha laini laini ya kuoneana aibu, mpenzi wako atakuona zoba; atakwenda kwa wahuni na watampa anachokitaka. Jitaidi kutumia lugha ngumu, katika kutaka penzi au katika mazingira ya kusisimuana.
Kwa mwanaume; zinampa ujasiri na kuaminika kwa mpenzi wake na kuonekana rijali. Kwa mwanamke; zinampandisha mpenzi wake hamu na kutokuchokwa/kuachika kirahisi, na hatimaye ndoa.
Nadhani wengi mnazijua hizi lugha ngumu; zitumieni kwa manufaa yenu.
Kwa mwanaume; zinampa ujasiri na kuaminika kwa mpenzi wake na kuonekana rijali. Kwa mwanamke; zinampandisha mpenzi wake hamu na kutokuchokwa/kuachika kirahisi, na hatimaye ndoa.
Nadhani wengi mnazijua hizi lugha ngumu; zitumieni kwa manufaa yenu.