Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 699
Exaud J. Makyao,
ulishangaa Kwa nini mimi naona hatutakuwa na lugha rasmi 1 duniani na palepale nasema pia ya kwamba watoto wetu labda watajifunza Kichina.
Ni hivi: tutaendelea kuwa na lugha ambazo ni muhimu zaidi kimataifa kuliko nyingine. Kwa sasa Kiingereza ni lugha muhimu sana kitaendelea kuwa vile kwa muda. Siamini milele. Lugha nyingine zitakuwa muhimu zaidi kuliko leo ninahisi: Kichina, lakini bila shaka pia kwa muda.
Bado naona ni baraka kuwa na lugha nyingi na uwingi wa tamaduni. Tujifunze lugha 2, 3, 4 ili tuweze kuwasiliana na wengi!
ulishangaa Kwa nini mimi naona hatutakuwa na lugha rasmi 1 duniani na palepale nasema pia ya kwamba watoto wetu labda watajifunza Kichina.
Ni hivi: tutaendelea kuwa na lugha ambazo ni muhimu zaidi kimataifa kuliko nyingine. Kwa sasa Kiingereza ni lugha muhimu sana kitaendelea kuwa vile kwa muda. Siamini milele. Lugha nyingine zitakuwa muhimu zaidi kuliko leo ninahisi: Kichina, lakini bila shaka pia kwa muda.
Bado naona ni baraka kuwa na lugha nyingi na uwingi wa tamaduni. Tujifunze lugha 2, 3, 4 ili tuweze kuwasiliana na wengi!