Lugha matata

Nataka kujfunz kiarabu vp apo kuna maticha???
Hivi unafikiri Waarabu wote wanaongea Kiarabu kile kile? Je unataka kujifunza Kiarabu cha nchi gani au ukanda gani?
Hivi unafikiri Muarabu wa Morocco au Algeria akienda kule Middle East akaongea Kiarabu chake ataeleweka? Be specific chief kituko1.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom