Lugha gongana:
Katibu mkuu: Ruksa wabunge wa CCM kukosoa Serikali
Mwenyekiti: Nilikuwa nafuatilia wabunge wanaokosoa na tungefukuza wote 17.
Vyama viwili ndani ya kimoja.
My take:
Hapo katibu atafanyeje?
KABISA!!!hiki chama kinapitia wakati mgumu sana ni suala la muda tu.