LUGHA GONGANA AU KISWAHILI KIGUMU?

Kremme

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
471
494
Hbr wadau naomba maana ya maneno/misemo hii.
1. Ameenda nchi za nje. ( kwani nchi za ndani ni zipi)
2.Ameenda ng'ambo.( kenya nayo ni ng'ambo? Au ni ulaya tu
3.Ameenda Ughaibuni.( ndo wap? Ufaransa pia ni ughaibuni.
4.Ameenda Mamtoni ( hata Nigeria ni mamtoni?)
5. Jamaa yuko nje wiki ya pili sasa( Nje inamaanisha hasa ni nchi zipi)
 
Haha nchi za NJE aka mbele ni nchi za NORTH AMERICA, ULAYA MAGHARIBI, JAPAN , NEW ZEALAND au AUSTRALIA basi...

Nchi jirani ni kama Kenya na Uganda.

Ughaibuni ni nchi ambazo sio za Nje! Mfano Russia au China au Arabuni.

Mamtoni ni Mbele aka Nchi za Nje....China sio mamtoni ila America ni mamtoni!

5." Jamaa kua nje" ni kwakua siku izi waluga luga wengi sana wanasafiri basi hata wakienda China au India wanasema wako nje ila ukweli ni kwamba China sio nje ila China ni Ng'ambo!

Ughaibuni ni general term sema mostly inatumika iwapo unaishi kabisa huko...mfano unaishi Sweden....tunasema uko ughaibuni...
 
Haha nchi za NJE aka mbele ni nchi za NORTH AMERICA, ULAYA MAGHARIBI, JAPAN , NEW ZEALAND au AUSTRALIA basi...

Nchi jirani ni kama Kenya na Uganda.

Ughaibuni ni nchi ambazo sio za Nje! Mfano Russia au China au Arabuni.

Mamtoni ni Mbele aka Nchi za Nje....China sio mamtoni ila America ni mamtoni!

5. Jamaa kua nje siku kwakua waluga luga wengi sana wanasafiri basi hata ukienda China au India wanasema uko nje ila ukweli ni kwamba China sio nje ila China ni Ng'ambo!

Ughaibuni ni general term sema mostly inatumika iwapo unaishi kabisa huko...mfano unaishi Sweden....tunasema uko ughaibuni...
Sijaelewa kigezo ulichotumia mkuu
 
Enhee.sawa.hebu twende sasa kujua ng'ambo,ugaibuni na nje kwa kigezo hicho cha kijiografia na sababu zake za kua ng'ambo,ugaibuni na nje mkuu
Gegraphically...nchi Tanzania inazopakana nazo ndo nchi jirani..kama kenya na uganda

Nchi nyingine ambazo tushare similarities kama za geographically socially politically ecanomically isipokua mipaka mfano kama South Africa au Zimbabwe izo ni nchi za kiKanda....

Nchi za Nje ni nchi ambazo zimeendelea kiuchumi yani developed countries sio interms of GDP kama China au India la hasha!
Zinapimwa in terms of HDI!

NA ndio mana China au India ni ng'ambo au ughaibuni lakini sio MBELE au NJE!

Ughaibuni inaweza kua MBELE yani NJE au NG'AMBO! Nje au ng'ambo ni types za Ughaibuni!


Ng'ambo ni nchi zozote ambazo sio MbELE/NCHE au ambazo sio nchi JIRANI au za KIKANDA! mfano Arabuni au India au Malaysia


Umeelewa au Mwalimu Kashasha aitwe?
 
Hbr wadau naomba maana ya maneno/misemo hii.
1. Ameenda nchi za nje. ( kwani nchi za ndani ni zipi)
2.Ameenda ng'ambo.( kenya nayo ni ng'ambo? Au ni ulaya tu
3.Ameenda Ughaibuni.( ndo wap? Ufaransa pia ni ughaibuni.
4.Ameenda Mamtoni ( hata Nigeria ni mamtoni?)
5. Jamaa yuko nje wiki ya pili sasa( Nje inamaanisha hasa ni nchi zipi)
Wapi tatizo
 
Back
Top Bottom