Ulitolewa waraka juu ya malipo ya extra shift allowance kwa wafanyakazi wa afya kama ifuatavyo;
1. Wale wenye degree moja sh 15,000/ kwa siku
2. Mabingwa (degree mbili na kuendelea) sh 25,000/- kwa siku.
Matatizo yaliyojitokeza;
Kwa maslahi binafsi ya kundi la watu, wameamua kutoa viwango hivyo kinyume na waraka kwa kuleta tafsiri ya degree hizo ambazo zote ni muhimu ndani ya vitengo vya hospitali. hapa Lugalo kuna kitengo cha Social Work (Ustawi wa jamii) na huduma ya ustawi wa jamii ni moja ya vitengo muhimu ndani ya hospitali yoyote. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Lakini hapa wanasema,wenye Degree ya ustawi wa jamii hawastahili kulipwa kwa viwango vilivyoainishwa na waraka huo kwa siku. Huu ni uonevu na uzalilishaji wa fani. Sasa kitengo hiki cha nini hapa hospitali kama hakina umuhimu?
1. Wale wenye degree moja sh 15,000/ kwa siku
2. Mabingwa (degree mbili na kuendelea) sh 25,000/- kwa siku.
Matatizo yaliyojitokeza;
Kwa maslahi binafsi ya kundi la watu, wameamua kutoa viwango hivyo kinyume na waraka kwa kuleta tafsiri ya degree hizo ambazo zote ni muhimu ndani ya vitengo vya hospitali. hapa Lugalo kuna kitengo cha Social Work (Ustawi wa jamii) na huduma ya ustawi wa jamii ni moja ya vitengo muhimu ndani ya hospitali yoyote. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii. Lakini hapa wanasema,wenye Degree ya ustawi wa jamii hawastahili kulipwa kwa viwango vilivyoainishwa na waraka huo kwa siku. Huu ni uonevu na uzalilishaji wa fani. Sasa kitengo hiki cha nini hapa hospitali kama hakina umuhimu?