Ludovick Utoh: Spika Ndugai kumwita CAG Assad ni jambo jipya, halijawai kutokea toka nchi kupata uhuru

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,867
Screenshot_20190108-095222.png
Screenshot_20190108-095215.png
Screenshot_20190108-095209.png
 
Tunaye spika mpumbavu anayeongoza wale yeye anaowaita "wasomi"!japo wasomi hao hawatekelezi wajibu wao ipasavyo.
Ndugai ajitokeze hadharani atuambie neno"usomi"kwake linamaanisha nini.
"Ulimswano NDUGAI"ni kweli Job Ndugai amepona?
ugonjwa huingia mwilini kirahisi lakini kutoka ni vigumu.
 
Tunaye spika mpumbavu anayeongoza wale yeye anaowaita "wasomi"!japo wasomi hao hawatekelezi wajibu wao ipasavyo.
Ndugai ajitokeze hadharani atuambie neno"usomi"kwake linamaanisha nini.
"Ulimswano NDUGAI"ni kweli Job Ndugai amepona?
ugonjwa huingia mwilini kirahisi lakini kutoka ni vigumu.


Bora sasa huo ugonjwa ungekuwa wa kupona na sio wa kufubaza. au kuzeez na ukiamka unakuwa umeshambulia ubongo wote
 
Tunaye spika mpumbavu anayeongoza wale yeye anaowaita "wasomi"!japo wasomi hao hawatekelezi wajibu wao ipasavyo.
Ndugai ajitokeze hadharani atuambie neno"usomi"kwake linamaanisha nini.
"Ulimswano NDUGAI"ni kweli Job Ndugai amepona?
ugonjwa huingia mwilini kirahisi lakini kutoka ni vigumu.
Anawaongoza wapumbavu una maana wote upinzani na ccm kwa ujumla wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom