Chadema wanahusikaje hapaNimekulia kwenye Uislamu na naelewa ninachokiongolea, Asad hawezi kuipenda chadema hata iweje na haijalishi mnajipendekeza vipi kwake, labda mngekuwa CUF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema wanahusikaje hapaNimekulia kwenye Uislamu na naelewa ninachokiongolea, Asad hawezi kuipenda chadema hata iweje na haijalishi mnajipendekeza vipi kwake, labda mngekuwa CUF.
Akili zako haziko sawa wewe, badala ya kujikita kwenye mada unashambulia watu/taasisi, halafu huo uislamu wako unahusikaje hapa?Fake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.
Fake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.
Acha kuchafua Hali ya hewa humuFake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.
Amini usiamini kati ya watu wanaonufaika sana na serikali hii in Wauza Popcorn.Dah tunachezeshwa muvi nyingine... Ila hii ya safari hii kiboko.... Nadhani ni new realise ya 2019
Jr
wewe intaprinyuwaa unatapika mapovu kama umemeza mche wa sabuni.Fake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.
Hilo jamaa jinga sana. Yamekosa hoja yanataka watu wajadili hoja kwa misingi ya dini.Acha kuchafua Hali ya hewa humu
Mshakabwa koo Nyie bado ku RIP tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Si wanataka kuaribu Mada,wawatoe watu nje ya reli mfano FaizaFoxy kuanzisha uzi wake kuhusu CAG lkn watu wamekuja na maneno sjui mdiniHilo jamaa jinga sana. Yamekosa hoja yanataka watu wajadili hoja kwa misingi ya dini.
Sent using Jamii Forums mobile app
TulitokaDah tunachezeshwa muvi nyingine... Ila hii ya safari hii kiboko.... Nadhani ni new realise ya 2019
Jr
Naona unahamishia magoli kwenye udiniFake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.
Huu ni upumbavu na ujuha Kabisa.Fake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.
Hii ya sasa siyo muvi mkuu. Ni realDah tunachezeshwa muvi nyingine... Ila hii ya safari hii kiboko.... Nadhani ni new realise ya 2019
Jr
Uislam na ukafir umefikaje tena.We utakuwa Shoga nahisiFake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.
Asad yuko pale kutimiza wajibu wake kama cag, sasa kupenda chadema inakujaje hapaNimekulia kwenye Uislamu na naelewa ninachokiongolea, Asad hawezi kuipenda chadema hata iweje na haijalishi mnajipendekeza vipi kwake, labda mngekuwa CUF.
Facts in facts tu bila kujali kasema nani! Hivi kafir ni nani hasa? Maelezo zaidi yatasaidia kukuelewa, vinginevyo utakuwa una shida gorofani!Fake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.
kwa hiyo Ndugai na Mapadlock sio makafiri ?.blood busted. Swain mkubwa weweFake news, Uto hajaongea hayo, chadema mnajifanya mko na Asad na Zito lkn msichokijua Asad hawezi kuwa na makafir hata siku moja, hivyo mnatetea msichokijua, mimi nimekulia na Uislamu na naelewa ninachokisema.