Wapi na lini CAG ametoa kauli ya ( amesema) "bunge ni dhaifu"?Watu tunapaswa kuelewa kuwa kinachogomba hapo siyo taarifa ya ukaguzi, bali ni kauli ya kusema 'bunge ni dhaifu'. Hivyo ni vitu viwili tofauti.
Ni watu tu wanamlisha maneno CAG. CAG amezungumzia udhaifu wa bunge, hakusema kwamba bunge ni dhaifu. Hivi ni vitu viwili tofauti.
Jiridhishe kwa kumsikiliza kwa makini kupitia link hii.
Ludovick Utoh: Spika Ndugai kumwita CAG Assad ni jambo jipya, halijawai kutokea toka nchi kupata uhuru - JamiiForums