Zitto sio wa kwanza.
Si mlianza na chacha wangwe??
Wachaga mmeshashindwa tayari na wenyewe mnalijua hilo.
Wasaliti wanazidi kuumbuka siku hadi siku! Mtaweweseka sana lakini tambueni Ibilisi hajawahi shinda mbele za Mungu aliye hai.
Zitto sio wa kwanza.
Si mlianza na chacha wangwe??
Wachaga mmeshashindwa tayari na wenyewe mnalijua hilo.
kamuulize kilewo
Una ushauri gani kwa Ludovic anayeuza utu wake kwa Tsh 50,000/-
gaidi nu kilewo na rwakatale
Last time i checked jamaa alihongwa 50,000 na Mwigulu kuisaliti CHADEMA kwa mashtaka ya uongo,this time amehongwa Lift na CCM hiyo hiyo indirectly kupitia ACT.Anehongwa kupitia taasisi baada ya Mwigulu kuchanwa live Bungeni kuwa aache kuwa mtu wa ovyo kwa kufanya dili kupitia M-Pesa
Zitto sio wa kwanza.
Si mlianza na chacha wangwe??
Wachaga mmeshashindwa tayari na wenyewe mnalijua hilo.
Mkuuw hebu punguza kidogo dozi utapasua mbavu za watu,,,maskini mweeee Babu seyaa!!!!!!
BACK TANGANYIKA
Puvu la nini? Hii inaonyesha wazi wewe unahusika kwenye hii issue haiwezekani upanic kiasi hich.ila jua ukiisha kwa upanga utakufa kwa upanga.wala sikutishi iko wazi unayoyafanya one day yatakuback fire tu.kama ambition zako zinakufanya unakosa utu well utafanikiwa but U will never be happy.Mungu hawezi kufanikisha njia ya Mnafiki ila Shetan anaweza fanikisha njia za wanafiki.
msubili mchage amwuliza uvamie ids usizo zijua dada ww unatafuta mme humu
Ana ambitions gani huyo zaid ya kutumika??
Mtoto wa kiume kuwa na tabia za kikaka poa ni hasara tupu.
Njaa zinamsumbua.
Angekuwa na ambitions asingekuwa kikaragosi cha wanasiasa.
Walioshindwa wako mahakamani wakipigania ubunge.
Waliofilisika wanatunga ajali za uongo pale pale pa Chacha Wangwe.
Yote hayo lengo ni kuhakikisha njia ya chooni haioti nyasi.
Wewe nawe sijui tukuiteje naana gesi inatiririka kuja Dar kila unapovuta pumzi
uongo upi aliofanya ludo? AT MOST alirekodi video inayomuonyesha mkuu wa usalama wa chadema akipanga mipango ya utekaji wa mwandishi wa habari. Na LAST TIME I CHECKED, wote wawili wanashitakiwa kwa mashitaka hayo hayo kortini.
Gesi inapiganiwa kwa maslahi ya kusini na taifa kwa ujumla.
Na sio kwa maslahi ya wachaga.
Wewe ukitakaje.
Usidhani kila mtu anatumika kama wewe!
babu seya angenpiga mtoto wako ndio ungejua
Ana ambitions gani huyo zaid ya kutumika??
Mtoto wa kiume kuwa na tabia za kikaka poa ni hasara tupu.
Njaa zinamsumbua.
Angekuwa na ambitions asingekuwa kikaragosi cha wanasiasa.
Leta mrejesho wa mapigano yako ya gesi. Na Ludovic anapigana kwa maslahi ya nani? Waha?