Rutatinisibwa
Senior Member
- Aug 22, 2011
- 109
- 42
Twaihuka ki? Eleza waitu, unawapongeza/unatupongeza nini
Mwaiyuka na abatwazi abalondwa no omutwazi mkulu kutuongoleza eofisi zo okuronda abatwazi abandi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twaihuka ki? Eleza waitu, unawapongeza/unatupongeza nini
Kwa kweli, kazi hiyo siyo ndogo ya kukabidhi nchi kwa chama kisichozoeleka. He has to be humble to roll up his sleeve for this taunting task.
Mwaiyuka na abatwazi abalondwa no omutwazi mkulu kutuongoleza eofisi zo okuronda abatwazi abandi!
yule alienda kutangaza matokeo amejificha studio za kbc alikuwa anaitwa kiviutu ila niliwahi kumuona citizen tv kachoka analalamika wameshamsahau yupo kijijini.mwai kibaki akaapishwa haraka harakaHongera Jaji(Mst) Lubuva!
Nafasi hii ni changamoto kubwa sana kwa miaka hii, na unahitaji kuchezea kwenye fair playground, vinginevyo utakuwa KIMUNYA wa Kenya!
tunajua ulipenda sana padre wako awe pale lakini haikuwezekana kwani wengine hatukumpa kura zetu sasa we endelea kulalama.Yule wa Zamani kafukuzwa kwa sababu Chama Cha Makahaba kilipoteza viti vingi vya Ubunge na udiwani kama sio Usalama wa taifa kuwasaidia NEC kuhesabu kura hata Kikwete asingekuwa magogoni.
]tunajua ulipenda sana padre wako awe pale lakini haikuwezekana kwani wengine hatukumpa kura zetu sasa we endelea kulalama.
Ben, muda wenyewe ni muda gani?Natumaini Hili ni suala la muda,kwenye mchakato wa katiba mpya suala la tume huru ya uchaguzi halikwepeki
Mbona wateule wote hawa wana walakini huko walikokuwa? Viongozi wa nchi hii maadlili yao yanatia shaka, alifanya nini katika hilo?Kabla ya uteuzi wake, Mheshimiwa Lubuva alikuwa Jaji katika Mahakama ya Rufani Tanzania na baada ya kustaafu aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili ya Viongozi.
Naye Bw. Mallaba, kabla ya uteuzi wake, alikuwa Mkurugenzi wa Sehemu ya Mikataba (Contracts and Treaties) katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. **Bw. Mallaba anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Bwana Rajabu Kiravu ambaye amemaliza mkataba wake wa utumishi Septemba, mwaka huu, 2011.
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENTS OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Bw. Mallaba, kabla ya uteuzi wake, alikuwa Mkurugenzi wa Sehemu ya Mikataba (Contracts and Treaties) katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Imetolewa na:
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
22 Desemba, 2011