JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,291
- 7,238
kuna habari toka Afrika Kusini kuwa makachero wa nchi hiyo wamezima jaribio la kumuua huyu ndugu, na wanawashikilia baadhi ya watu, silaha na pesa kuhusiana na suala hilo. wanasema hili ni jaribio la tatu dhidi yake ambaye alikuwa chief of staff jeshi la Rwanda. nachojiuliza huyu jamaa ana siri gani hasa au amefanya kosa gani hasa mpaka apaniwe kiasi hiki, na hivi hakuna mkono wa Kagame kwenye hili suala?