Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ANATAKIWA ACHAFUE KITI
TUBU BABA
TUELEZE KUHUSU RICHMOND
KWA NINI ULIACHA UWAZIRI MKUU
WALIOSHIRIKI RICHMOND
Wabaya wako wanakuchafua,njoo kwa wananchi watakusikiliza,
@umechelewa kushtuka. Kawia ufikeNimegundua kuna Watu/members wamepandikizwa humu JF ili, ama kumtetea Lowassa katika Thread zinazoanzishwa kumhusu, au Kuanzisha Thread zinazotaka Kumsafisha Lowassa. Na hizi ni Mbinu tu za nafasi ya Lowassa kueleka Uchaguzi Mkuu 2015, kutaka Kuingia Ikulu
Anataka kufanya yale ambayo Chenge amemfanyia Sitta kwenye kinyang'anyiro cha uspika.Picha ya wasanii hawa inaendelea.JK kata ngebe kwa kulivua Gamba likaseme likiwa nje ya kundi.
ni mchapakazi lakini sio msafi...............full stop.
Nimegundua kuna Watu/members wamepandikizwa humu JF ili, ama kumtetea Lowassa katika Thread zinazoanzishwa kumhusu, au Kuanzisha Thread zinazotaka Kumsafisha Lowassa. Na hizi ni Mbinu tu za nafasi ya Lowassa kueleka Uchaguzi Mkuu 2015, kutaka Kuingia Ikulu
kuna habari kuwa leo ataongea na vyombo vya habari..
haitosaidia,sis ni sehemu ya wtz wachache sana
Lowassa ana karata moja ingawa matokeo yote ni wote tukose. Karata yenyewe ni kueleza alivyoshirikiana na Kikwete kuileta Richmond na jinsi walivyoshirikiana kuiba pesa benki kuu chini ya mradi wa EPA. Vinginevyo anachofanya Lowassa ni kutaka kumfufua maiti jambo ambalo halijawahi kufanywa na binadamu. Kwanini asiamue kumwaga mtama ili wote na Kikwete wakaisha vizuri bila kusahau Chama Cha Mafisadi?