Lowassa yu wapi?

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Kufuatia Cdm kuwapeleka puta CCM na CUF huko Igunga, na baada ya CCM kupeleka timu ya kampeni yenye watu wasio na mvuto kabisa mbele ya wapiga kura wa igunga, nadhan Edward LOWASA angekuwa ni chaguo bora kuwa mratibu wa kampen za igunga. Lakin kwa upepo unavyovuma huko igunga, sifahamu nani atashinda ila nina uhakika kuwa CCM haitavunja rekodi ya oktoba 2011 ya kura 35,000. Na kama CCM ikishinda basi itashinda kwa aibu(ushindi hafifu) kitu ambacho ni sawa na ushindi kwa upinzani. Kwa sasa, CCM wanapumulia mashine si igunga tu, bali nchi nzima. LOWASA angeweza kushawishi wale wana igunga waliochukizwa na R.A kuachia ngazi kurudi kundini.
 
Hizo kura za kujiamulia tu eti 'mara hii tujipe ngapi ili wapinzani wasije wakapiga kelele sana' safari hii watazisikia tu redioni. Hakuna msafi yeyote wa kuweza kukiokoa CCM labda Banduka.
 
Kufuatia Cdm kuwapeleka puta CCM na CUF huko Igunga, na baada ya CCM kupeleka timu ya kampeni yenye watu wasio na mvuto kabisa mbele ya wapiga kura wa igunga, nadhan Edward LOWASA angekuwa ni chaguo bora kuwa mratibu wa kampen za igunga. Lakin kwa upepo unavyovuma huko igunga, sifahamu nani atashinda ila nina uhakika kuwa CCM haitavunja rekodi ya oktoba 2011 ya kura 35,000. Na kama CCM ikishinda basi itashinda kwa aibu(ushindi hafifu) kitu ambacho ni sawa na ushindi kwa upinzani. Kwa sasa, CCM wanapumulia mashine si igunga tu, bali nchi nzima. LOWASA angeweza kushawishi wale wana igunga waliochukizwa na R.A kuachia ngazi kurudi kundini.

Unaishi dunia gani? Waliochukizwa na kujitoa kwa Rostam ni wale kupe waliokuwa wanaishi kwa kumdanganya na ndiyo walikodiwa ili wazimie. Lowassa hana mvuto hata kwenye kata za jimbo lake. Hata hivyo mwenzenu sasa yuko bize kutekeleza masharti aliyopewa na tapeli wa Nigeria.
 
Waziri mkuu 'mstaafu' kaishiwa mvuto kwa 100%.
Hawezi shinda hata ujumbe wa serikali ya mtaa...
 
Kufuatia Cdm kuwapeleka puta CCM na CUF huko Igunga, na baada ya CCM kupeleka timu ya kampeni yenye watu wasio na mvuto kabisa mbele ya wapiga kura wa igunga, nadhan Edward LOWASA angekuwa ni chaguo bora kuwa mratibu wa kampen za igunga. Lakin kwa upepo unavyovuma huko igunga, sifahamu nani atashinda ila nina uhakika kuwa CCM haitavunja rekodi ya oktoba 2011 ya kura 35,000. Na kama CCM ikishinda basi itashinda kwa aibu(ushindi hafifu) kitu ambacho ni sawa na ushindi kwa upinzani. Kwa sasa, CCM wanapumulia mashine si igunga tu, bali nchi nzima. LOWASA angeweza kushawishi wale wana igunga waliochukizwa na R.A kuachia ngazi kurudi kundini.

Hapo kwenye red naona maluweluwe mkuu.
 
Kufuatia Cdm kuwapeleka puta CCM na CUF huko Igunga, na baada ya CCM kupeleka timu ya kampeni yenye watu wasio na mvuto kabisa mbele ya wapiga kura wa igunga, nadhan Edward LOWASA angekuwa ni chaguo bora kuwa mratibu wa kampen za igunga. Lakin kwa upepo unavyovuma huko igunga, sifahamu nani atashinda ila nina uhakika kuwa CCM haitavunja rekodi ya oktoba 2011 ya kura 35,000. Na kama CCM ikishinda basi itashinda kwa aibu(ushindi hafifu) kitu ambacho ni sawa na ushindi kwa upinzani. Kwa sasa, CCM wanapumulia mashine si igunga tu, bali nchi nzima. LOWASA angeweza kushawishi wale wana igunga waliochukizwa na R.A kuachia ngazi kurudi kundini.


actually, ccm is a de facto an opposition party at the moment!!
 
Back
Top Bottom