Mnapata wapi "facts" za kusifia uchumi wenu unakua ikiwa kila siku tunashuhudia business "closure" na retrenchment. Tieni akili nchi haiongozwi kwa matamko au kuchukia sehemu fulani ya watu.Exactly kiuchumi Kenya wapo juu hili halihitaji kutoa povu ni LA kitakwimu sema sasa uchumi wetu unaonyesha Steady Growth tuende hivyo in the Long Run tutawafikia tukitengeneza pillars nzuri kwa mfano Kenya kwa sasa vijana wengi wanaomaliza Elimu ya juu wanaajiriwa na sekta binafsi sisi ni kinyume chake
Post sent using JamiiForums mobile app
These "Kenya v/s Tanzania" debates you bring us everyday is foolishness and don't take us anywhere as neighbour countries.
These topics area a disgrace to us people who call ourselves brothers and sisters.
I think we have more important issues to discuss!!
These "Kenya v/s Tanzania" debates you bring us everyday is foolishness and don't take us anywhere as neighbour countries.
These topics area a disgrace to us people who call ourselves brothers and sisters.
I think we have more important issues to discuss!!
Huyu ndiye ambaye wamasai woooote afrika mashariki....wamemteu/wamemchagua kuwa laigwanan wao kaupateje huo ulaigwanan wakati yeye ni mmeru! ?kama vip.....ahamie huko kwenye uchumi mzurikulingana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi yetu ambapo Tanzania inaongoza kwa ukuaji wa uchumi Afrika, Je, Lowassa kadanganya au yuko sahii kusema nchi ya Kenya iko mbele kiuchumi
Ikulingana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi yetu ambapo Tanzania inaongoza kwa ukuaji wa uchumi Afrika, Je, Lowassa kadanganya au yuko sahii kusema nchi ya Kenya iko mbele kiuchumi
Hahaaa kweli ww mkuu umetuvuruga kabisaaa ndoto za NoahTutawapita Kenya soon tukipata fedha za makinikia Trillion 108 kila MTU akianza kuwa na Noah yake Africa Mashariki tutakuwa na uchumi ya Noah ambapo sio Jambo dogo kama unajua Bei ya kinguruwe kimoja ambapo kinapiga safari za kila kichwa miatano na moshi Tarekea 3000
Post sent using JamiiForums mobile app
Mwacheni huyo jamani hajui hata anachozungumza. Bahati nzuri alikuwa akizungumza hayo mbele ya rafiki yake Uhuru ili kumfurahisha. Ukisoma daily nation ya hivi karibuni Kenya ipo hoi imeshapitwa na Ethiopia na Tanzania ipo nyuma ya Kenya ikiwapumulia na wakati wowote ule itapitwa na TZkulingana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi yetu ambapo Tanzania inaongoza kwa ukuaji wa uchumi Afrika, Je, Lowassa kadanganya au yuko sahii kusema nchi ya Kenya iko mbele kiuchumi
Uchumi naweza kukubali ila akili,wamekuzidi wew mwenyew na si nchi yetu.Mkuu hilo nalo unauliza mbona lipo wazi kabisa, Kenya wametuzidi sana kiuchumi na kiakili
Speed yetu ni kadi kuliko yao ila tayari wako mbele yetu kwa kitambo. Labda wanaishiwa mvuke.kulingana na kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi yetu ambapo Tanzania inaongoza kwa ukuaji wa uchumi Afrika, Je, Lowassa kadanganya au yuko sahii kusema nchi ya Kenya iko mbele kiuchumi
Kila mtu atakua na Noah yake, sasa abiria utapata wapi wa kulipa hiyo 3000Tutawapita Kenya soon tukipata fedha za makinikia Trillion 108 kila MTU akianza kuwa na Noah yake Africa Mashariki tutakuwa na uchumi ya Noah ambapo sio Jambo dogo kama unajua Bei ya kinguruwe kimoja ambapo kinapiga safari za kila kichwa miatano na moshi Tarekea 3000
Post sent using JamiiForums mobile app
hivi uchumi wa kenya ni sawa na TZ?hata mtoto mdogo anajua kenya wapo vizur POLITICAL,ECONOMICALY na hata sasa wanaanza kutuacha katika mambo ya kijamiii,hebu mtoke walau mara moja mpite nchi jirani huko muone watu walivyp professional na sisi kutwa tunawaza siasa na kukomoanaHaya ndio madhara ya kusomea shahada za kiswahili na PSPA. Unashindwa kuelezea tofauti ya ukuaji wa uchumi na uchumi uliokua. Kenya inaspeed ndogo kukuza uchumi ila uchumi wake ni mkubwa zaidi ya tz but tz inakua haraka kiuchumi zaidi ya Kenya.
Mfano uliowazi ni China na USA usiwaze sana.
Au nikuulize mwandishi swali kuwa. Mtoto na kijana au mzee kama utakaa nao kitaa kimoja au nyumba moja, ni yupi machoni pako ataonesha ukuaji wa haraka zaidi ya mwingine?
Probably mtoto kisha kijana na baadae mzee huwezi kumuona akikua bali baadae sana utabaini kuwa naye anakua kwani ngozi yake na muonekano wake utazidi kuonesha uzee zaidi, ndio maana mzee wa miaka 60 hafanani kimuonekano na mzee wa miaka 90 alikadhalika na yule wa miaka 110 ingawaje wote ni wazee.
Uchumi is all around us like an environment
Post sent using JamiiForums mobile app