Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Kiakili wamekuzidi wewe mkuuMkuu hilo nalo unauliza mbona lipo wazi kabisa, Kenya wametuzidi sana kiuchumi na kiakili
Kiakili wamekuzidi wewe mkuuMkuu hilo nalo unauliza mbona lipo wazi kabisa, Kenya wametuzidi sana kiuchumi na kiakili
Sisi huku private sector zinakufa
..sasa sijui hiyo growth inaokea wapi
Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu angalia mikataba mbalimbali wanayosaini ikiwemo ya madini, gesi na mafuta ndiyo utajuwa sisi ni malofaKiakili wamekuzidi wewe mkuu
Mkuu nina hakika umenielewa mkuu... hahahahahMkuu ujumbe wako mruaaaa ila sijui ulimanisha nini?
Post sent using JamiiForums mobile app
wewe ni mkenya?Kenya iko mbele na hata mufanye vipi , hamtaikamata .
mkuu sasa inakuwaje Kenya watuzidi kipato kwa mwaka halafu sisi tuwazidi ubora wa maisha? Kenya walichotuzidi ni viwanda tu mambo mengine tumewazidiUkiangalia gdpya Tanzania ni dolaza kimarekani 943 kwa mwaka kwa kila mtanzania . na Kenya kila RAIA ana 1420 dola kwa mwaka . na wastani Wa uchumi Wa Kenya ni 6% na Tanzania ni 7% .MTU anayependa kujua Tanzania ataipita link Kenya afanye hizo hesabu juu atueleze ni link Tanzania ataipita Kenya kwa kutarajia kuwa miaka yote hiyo kila kitu kitabaki kama kilivyo. Tanzania ilikuwa na fursa ya kuipita Kenya laki tulishindwa kutumia fursa. Miaka ya 1970 Tanzania ilikuwa inakua haraka kuliko Kenya lakini vijiji vya ujamaa vilipoteza uelekeo na hili Mwalimu alikiri baadaye kuwa katika makosa aliypfanya ni kuwahamisha wazalishaji kwa njia ya ujamaa na jingine alikiri ni kuvunja serikali za mitaa ambazo wananchi waliziamini na kuziendesha kwa faida yao. Sasa tukirudi kwenye mada tukubali kuwa Kenya kiuchumi wanatuzidi. Ila kwa ubora Wa maisha Tanzania tunawzidi Kenya ndiyo maana wastani Wa maisha ya mkenya ni miaka59 na mtanzania wastani Wa miaka 62. Sababu take Tanzania tunakula vizuri kwa sababu tuna Ardhi nzuri na mvua nzuri mikoa mingi lakini Kenya maendeleo yao yote yako majimbo mawili central na Rift valley lakini Kle kaskazini karibu nusu yote ya Kenya ni shida tupu.Hii inanikumbusha miaka hiyo (1975) kulifanyika mashindno ya riadha afrika mashariki kwa kweli wanafunzi Wa Kenya walionekana wachovuna kushangaa eti hivi high school nzuri hivi inaweza kuwa interior kam iringa? Kwao ukiongea Kenya fikiria kisumu /eldoret/ Mombasa/kericho/. Pale panapopita reli na maeneo yanayozunguka karibu ndiyo hiyo Kenya inayotuzidiNa kwli wanatuzidi kwa huo uchumi mnaoongea kwenye mitandao ila kama tungehesabu kila mwananchi Wa Kenya na Tanzania anakula calories ngapi nadhani tunawzidi .ninaweza kuelimishwa.( I stand to be corrected.) Mchango wangu kama ninamkwaza mzalendo kipofu Wa mahali popote anisamehe sio dhamira yangu. Maana hakuna njia tuliyopewa na MUNGU kuelimishana ispokuwa kwa mawasiliano kama haya.
Post sent using JamiiForums mobile app
Endelea kuota mkuuChini ya Magufuli by 2019 tutawapita Kenya kimaendeleo ya kiuchumi na hata katika kugawa social services
Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu usipoteze muda kubishana na Mtu asiyejua nini? unazungumziaMkuu angalia mikataba mbalimbali ikiwemo ya madini , mafuta na gesi utanielewa
Hiyo kas unayoizungumzia ni ya nini? mkuu,dadavua hapoHili la OMO AU KOMESHA?
cjakataa kutuzidi kiuchumi ila speed yetu ni kubwa kuliko wao hebu rudia kusoma kwa makini sana utanielewa
Post sent using JamiiForums mobile app
Na wewe ukalelewe kwenye vituo vya Watoto yatimaHuyu babu aende akalelewe vituo vya wazeee
Kwa ubaguzi, ubinafsi na ujuha you are the best maana hamuwezi kuwaachia wananchi wachache ardhi na wengine mkawa waangaliajiKenya is the best East Africa
Post sent using JamiiForums mobile app
Sasa huyu wa retrenchment nae sijui ina uhusiano gani na uchumi lakini retrenchment unaweza kufanya kama unataka ku down size the company!!! haina uhusiano na kufilisika, hata hivyo uchumi wa Tz wakati wa JK ulikuwa unakua kwa 7% lakini yote sababu ya madawa ya kulevya. Sasa hivi ndio kuna uchumi halisi kila senti ina thamaniMnapata wapi "facts" za kusifia uchumi wenu unakua ikiwa kila siku tunashuhudia business "closure" na retrenchment. Tieni akili nchi haiongozwi kwa matamko au kuchukia sehemu fulani ya watu.
Kama wanaiba vituo visifungwe akili za wapi hizi?Kwa hii spidi ya kufunga vituo vya mafuta uko sahihi .