Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Hebu tujikumbushe kidogo
Toka Lowassa aende upinzani na hadi anarudi Ccm hata siku moja hakuwahi kutoa shutuma dhidi ya vyombo vya usalama hata kwa bahati mbaya
Katika majukwaa yake ya siasa akiwa CHADEMA hakuwahi kuwatamka hawa watu anajua umuhimu wake ,tukumbuke Lowasa alikuwa kiongozi mwandamizi serkalini ila hakuwahi kudhalilisha vyombo vya usalama
Sasa anatokea mtu mwingine yeye anaropoka ropoka tu mara TISS hivi mara polisi vile mara jeshi vile Unakaa unafikiria huyu mtu anawashauri! Kama anawashauri Kwanini wanamshauri vibaya?
Basi unamhurumia tu hajui alitendalo maskini
Kwasababu hapo tayari yeye mwenyewe anajiweka kwenye black list ndani ya vyombo vya usalama hawezi kupata msaada wowote
Huyu mtu Inawezekana anabalaa zinamwandama tumhurumie tu
Toka Lowassa aende upinzani na hadi anarudi Ccm hata siku moja hakuwahi kutoa shutuma dhidi ya vyombo vya usalama hata kwa bahati mbaya
Katika majukwaa yake ya siasa akiwa CHADEMA hakuwahi kuwatamka hawa watu anajua umuhimu wake ,tukumbuke Lowasa alikuwa kiongozi mwandamizi serkalini ila hakuwahi kudhalilisha vyombo vya usalama
Sasa anatokea mtu mwingine yeye anaropoka ropoka tu mara TISS hivi mara polisi vile mara jeshi vile Unakaa unafikiria huyu mtu anawashauri! Kama anawashauri Kwanini wanamshauri vibaya?
Basi unamhurumia tu hajui alitendalo maskini
Kwasababu hapo tayari yeye mwenyewe anajiweka kwenye black list ndani ya vyombo vya usalama hawezi kupata msaada wowote
Huyu mtu Inawezekana anabalaa zinamwandama tumhurumie tu