- Well, sasa umefika wakati wa Serikali ya CCM kuamua moja either kumuachia Lowassa Serikali, au kuridhisha Katiba na kuwa Serikali halali iliyochaguliwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. I mean what has gone wrong na hili taifa? Kila kukicha it is Lowassa and Lowassa, and Lowassa and Lowassa! What is wrong na CCM? I mean how much money does this man has ambazo toka tumeanza kumsikia akizitumia ku-manipulate our politics haziiishi tu na wala hazithibitiwi na Serikali on uhalali wake?
- CCM ifike mahali sasa tuambiane ukweli, kama we can't stop this man basi tumuachie hiii Serikali kuliko hizi never ending Dramas behind the Scene, WHY? Who is this man? Huku US kuna wakati kulikuwa na Mafia John Gotti, na yeye aliizidia sana Serikali mpaka Rais Clinton, akaamua uamuzi mgumu na kumfunga kwa kuizunguka Sheria, ili kuirudishia heshima na Legitimacy Serikali, Serikali ya CCM inaanza kukosa Legitimacy kwa sababu ya this one man, basi ifike mahali ikubali kushindwa na kumpa anachokitaka yaani URAIS, maana hii sasa imekua kero isiyokwisha na inakimaliza chama mwisho itamaliza hata taifa!
MUCH RESPECT PEOPLEs!
William @...NYC, USA: Mutuz Le Baharia!
- Well, sasa umefika wakati wa Serikali ya CCM kuamua moja either kumuachia Lowassa Serikali, au kuridhisha Katiba na kuwa Serikali halali iliyochaguliwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. I mean what has gone wrong na hili taifa? Kila kukicha it is Lowassa and Lowassa, and Lowassa and Lowassa! What is wrong na CCM? I mean how much money does this man has ambazo toka tumeanza kumsikia akizitumia ku-manipulate our politics haziiishi tu na wala hazithibitiwi na Serikali on uhalali wake?
- CCM ifike mahali sasa tuambiane ukweli, kama we can't stop this man basi tumuachie hiii Serikali kuliko hizi never ending Dramas behind the Scene, WHY? Who is this man? Huku US kuna wakati kulikuwa na Mafia John Gotti, na yeye aliizidia sana Serikali mpaka Rais Clinton, akaamua uamuzi mgumu na kumfunga kwa kuizunguka Sheria, ili kuirudishia heshima na Legitimacy Serikali, Serikali ya CCM inaanza kukosa Legitimacy kwa sababu ya this one man, basi ifike mahali ikubali kushindwa na kumpa anachokitaka yaani URAIS, maana hii sasa imekua kero isiyokwisha na inakimaliza chama mwisho itamaliza hata taifa!
MUCH RESPECT PEOPLEs!
William @...NYC, USA: Mutuz Le Baharia!
Naunga mkono hoja hii.Mwenyekiti ambaye ni Rais ana madaraka mengi na makubwa lakini ni weak na hii ndiyo inayomsaidia huyo Dalali wa RICHMOND
.Siku moja nimesafiri na mama mkimbizi kutoka Sierra Leone kwenye metro. Nilizungumza naye kuhusu hali nchini mwao ambako waasi wa kundi la RUF walikuwa wakiwakata raia mikono, masikio na viungo vinginevyo vya mwili. Nikamwuliza, je, unadhani suluhu ya tatizo la Sierra Leone ni nini? Akajibu, ni kuwaachia waasi wachukue serikali. Angalau wataacha kukata watu mikono. Naona na sisi Tanzania tumeshafikia hali hiyo. Lowassa, kwa kutuibia na kutajirika kwa kutumia migongo yetu, hivi leo hana tofauti na waasi wa RUF. Kwa Watanzania waliokata tamaa watasema kwamba njia pekee ni kumwachia Lowassa uongozi wa nchi. Lakini kwa Watanzania wenye matumaini, nikiwemo mimi, tunasema kuwa Lowassa hatufai. Hafai kuwa kiongozi wa Tanzania inayoelekea karne ya 21. Ameiba vya kutosha, amedhulumu vya kutosha abaki na mali zake lakini hafai kuwa kiongozi wa nchi. Tanzania deserves better.
Serikali ya CCM inaanza kukosa Legitimacy kwa sababu ya this one man
.
umenena yaliyo bora machoni pa mungu. huwa siwaelewi baadhi ya watu katika nchi hii kabisa na nataka niamini kuwa kweli bado baadhi yetu tuna umaskini wa fikra tena sana. Hivi hatuna watanzania wasio na madoa wala kashfa hata kama ni za kutungiwa si za kweli ambao wanao faa kuwa rais wa nchi yetu mpaka awe Lowasa? WHY HIM?
Naomba ajitokeze mtu hapa JF atuambie WHY LOWASA? and WHY not MWAKYEMBE or MAGUFULI?
Rais wa Tanzania atatoka miongoni mwa hawa.
1. Membe
2.Mwakyembe
3. Wassira
4. Magufuli
5. Asha-rose
6. Nchimbi
7. Mwinyi Jr
Lakini sio Lowassa
- Well, sasa umefika wakati wa Serikali ya CCM kuamua moja either kumuachia Lowassa Serikali, au kuridhisha Katiba na kuwa Serikali halali iliyochaguliwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. I mean what has gone wrong na hili taifa? Kila kukicha it is Lowassa and Lowassa, and Lowassa and Lowassa! What is wrong na CCM? I mean how much money does this man has ambazo toka tumeanza kumsikia akizitumia ku-manipulate our politics haziiishi tu na wala hazithibitiwi na Serikali on uhalali wake?
- CCM ifike mahali sasa tuambiane ukweli, kama we can't stop this man basi tumuachie hiii Serikali kuliko hizi never ending Dramas behind the Scene, WHY? Who is this man? Huku US kuna wakati kulikuwa na Mafia John Gotti, na yeye aliizidia sana Serikali mpaka Rais Clinton, akaamua uamuzi mgumu na kumfunga kwa kuizunguka Sheria, ili kuirudishia heshima na Legitimacy Serikali, Serikali ya CCM inaanza kukosa Legitimacy kwa sababu ya this one man, basi ifike mahali ikubali kushindwa na kumpa anachokitaka yaani URAIS, maana hii sasa imekua kero isiyokwisha na inakimaliza chama mwisho itamaliza hata taifa!
MUCH RESPECT PEOPLEs!
William @...NYC, USA: Mutuz Le Baharia!
- Well, sasa umefika wakati wa Serikali ya CCM kuamua moja either kumuachia Lowassa Serikali, au kuridhisha Katiba na kuwa Serikali halali iliyochaguliwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. I mean what has gone wrong na hili taifa? Kila kukicha it is Lowassa and Lowassa, and Lowassa and Lowassa! What is wrong na CCM? I mean how much money does this man has ambazo toka tumeanza kumsikia akizitumia ku-manipulate our politics haziiishi tu na wala hazithibitiwi na Serikali on uhalali wake?
- CCM ifike mahali sasa tuambiane ukweli, kama we can't stop this man basi tumuachie hiii Serikali kuliko hizi never ending Dramas behind the Scene, WHY? Who is this man? Huku US kuna wakati kulikuwa na Mafia John Gotti, na yeye aliizidia sana Serikali mpaka Rais Clinton, akaamua uamuzi mgumu na kumfunga kwa kuizunguka Sheria, ili kuirudishia heshima na Legitimacy Serikali, Serikali ya CCM inaanza kukosa Legitimacy kwa sababu ya this one man, basi ifike mahali ikubali kushindwa na kumpa anachokitaka yaani URAIS, maana hii sasa imekua kero isiyokwisha na inakimaliza chama mwisho itamaliza hata taifa!
MUCH RESPECT PEOPLEs!
William @...NYC, USA: Mutuz Le Baharia!
Wana JF, nimekuwa nikilisema hili mara kwa mara (fuatilia posting zangu za nyuma kuhusu Lowasa) kwamba Lowasa hakupewa muda wa kujieleza mbele ya tume ya akina Mwakyembe. Kila mtuhumiwa aliitwa kujieleza mbele ya tume na wengine walifuatwa mpaka America, lakini cha kushangaza zaidi Lowasa hakuitwa wala kupigiwa simu na tume husika na wakati ofisi ya Lowasa haikuwa mbali na ofisi ya tume husika.
Lowasa kama angeitwa mbele ya tume basi haya anayoyasema leo ndani ya vikao vya CCM angeliyasema mbele ya tume na ukweli ungelijulikana mapema sana. Na pia ikumbukwe kwamba katika ripoti Mwakyembe alisema kuna mengine hawezi kuyasema kwa kuifichia siri serikali. Alikuwa na maana gani kusema hivyo wakati sisi walipa tumetoa pesa zetu ili uchunguzi wa kina ufanywe na tupewe ukweli bila kuficha?. Ninarudia kusema na nitarudia kusema kwamba Lowasa alionewa, hakutendewa haki, alifanywa mbuzi wa kafara.
Legitimacy ya Serikali ilikwisha tulipokubali Rushwa kuwa sera mojawapo ya chama cha mapinduzi!! Lowasa aachwe!!- Well, sasa umefika wakati wa Serikali ya CCM kuamua moja either kumuachia Lowassa Serikali, au kuridhisha Katiba na kuwa Serikali halali iliyochaguliwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. I mean what has gone wrong na hili taifa? Kila kukicha it is Lowassa and Lowassa, and Lowassa and Lowassa! What is wrong na CCM? I mean how much money does this man has ambazo toka tumeanza kumsikia akizitumia ku-manipulate our politics haziiishi tu na wala hazithibitiwi na Serikali on uhalali wake?
- CCM ifike mahali sasa tuambiane ukweli, kama we can't stop this man basi tumuachie hiii Serikali kuliko hizi never ending Dramas behind the Scene, WHY? Who is this man? Huku US kuna wakati kulikuwa na Mafia John Gotti, na yeye aliizidia sana Serikali mpaka Rais Clinton, akaamua uamuzi mgumu na kumfunga kwa kuizunguka Sheria, ili kuirudishia heshima na Legitimacy Serikali, Serikali ya CCM inaanza kukosa Legitimacy kwa sababu ya this one man, basi ifike mahali ikubali kushindwa na kumpa anachokitaka yaani URAIS, maana hii sasa imekua kero isiyokwisha na inakimaliza chama mwisho itamaliza hata taifa!
MUCH RESPECT PEOPLEs!
William @...NYC, USA: Mutuz Le Baharia!
- Well, sasa umefika wakati wa Serikali ya CCM kuamua moja either kumuachia Lowassa Serikali, au kuridhisha Katiba na kuwa Serikali halali iliyochaguliwa kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. I mean what has gone wrong na hili taifa? Kila kukicha it is Lowassa and Lowassa, and Lowassa and Lowassa! What is wrong na CCM? I mean how much money does this man has ambazo toka tumeanza kumsikia akizitumia ku-manipulate our politics haziiishi tu na wala hazithibitiwi na Serikali on uhalali wake?
- CCM ifike mahali sasa tuambiane ukweli, kama we can't stop this man basi tumuachie hiii Serikali kuliko hizi never ending Dramas behind the Scene, WHY? Who is this man? Huku US kuna wakati kulikuwa na Mafia John Gotti, na yeye aliizidia sana Serikali mpaka Rais Clinton, akaamua uamuzi mgumu na kumfunga kwa kuizunguka Sheria, ili kuirudishia heshima na Legitimacy Serikali, Serikali ya CCM inaanza kukosa Legitimacy kwa sababu ya this one man, basi ifike mahali ikubali kushindwa na kumpa anachokitaka yaani URAIS, maana hii sasa imekua kero isiyokwisha na inakimaliza chama mwisho itamaliza hata taifa!
MUCH RESPECT PEOPLEs!
William @...NYC, USA: Mutuz Le Baharia!
Anyamzie viwavi na wezi wanaoiba kodi zetu na kulumbana!! Kila mmoja ana haki ya kuyahoji na kuyajadili majambazi ya kodi zetu! Matokeo ya yale malori yaliyojaa noti zetu yaliyomweka JK madarakani ni haya!! Tulieni wembe upite!!Badala ukawaamue lema na zito unleta upuuzi wako huku,hata siku moja huwezi ukawa na jambo la msingi la kuzungumza kuhusu lowassa na CCM so nyamaza kimya.