Omuchimati
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 427
- 202
Juzi baada ya Rais wangu mpendwa John Joseph Pombe Magufuli, kupokea ripoti ya pili inayohusu usafirishwaji wa mchanga wa dhahabu aliibuka waziri mkuuu aliestaafu kwa manufaa ya umma Edward Lowassa, na kusema kuwa anayosimamia Mhe Rais ni sera ya Ukawa.
Lowassa si mkweli na nimeamini sasa ataendelea kuwa muongo mpaka mwisho wa maisha yake, ni dhambi inayomtafuna, na inawatafuna wenzake ambao wamemrithi kama Baba yao ( CHADEMA), kwenye hotuba yake mojawapo ye mwenyewe LOWASSA anasema , nanukuu "kuna madini makubwa makubwa na madogo, yale makubwa makubwa tutaongea na watu hawa wakubwa wachukue asilimia sabini sisi watuachie asilimia thelathini" mwisho wa kunukuu, hii ndio ilikuwa sera Ukawa yaani CHADEMA na Lowassa wao. hamuwezi kujifananisha Kwame na Mhe Rais.
Lowassa ushafeli kubali yaishe mzee.
Lowassa si mkweli na nimeamini sasa ataendelea kuwa muongo mpaka mwisho wa maisha yake, ni dhambi inayomtafuna, na inawatafuna wenzake ambao wamemrithi kama Baba yao ( CHADEMA), kwenye hotuba yake mojawapo ye mwenyewe LOWASSA anasema , nanukuu "kuna madini makubwa makubwa na madogo, yale makubwa makubwa tutaongea na watu hawa wakubwa wachukue asilimia sabini sisi watuachie asilimia thelathini" mwisho wa kunukuu, hii ndio ilikuwa sera Ukawa yaani CHADEMA na Lowassa wao. hamuwezi kujifananisha Kwame na Mhe Rais.
Lowassa ushafeli kubali yaishe mzee.