Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Akihutubia taifa hilo kupitia runinga, Mfalme wa Japan Akihito amesema ana wasiwasi kwamba umri na udhoofu wa afya yake huenda vikamfanya ashindwe kutekeleza majukumu yake.
Hapa Tanzania tunaye mwanasiasa ambaye licha ya umri wake kuwa mkubwa na afya yake kuwa na mgogoro, bado ana ndoto za kuwa Rais wa Tanzania miaka 5 ijayo. Watanzania hatukukosea tulipompiga chini Oktoba 2015. Tutafanya hivyo 2020 mpaka atakaponyoosha mikono kuwa Urais wa nchi si size yake.
Hapa Tanzania tunaye mwanasiasa ambaye licha ya umri wake kuwa mkubwa na afya yake kuwa na mgogoro, bado ana ndoto za kuwa Rais wa Tanzania miaka 5 ijayo. Watanzania hatukukosea tulipompiga chini Oktoba 2015. Tutafanya hivyo 2020 mpaka atakaponyoosha mikono kuwa Urais wa nchi si size yake.