dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,478
Mwambieni mtu wenu aanzishe chama chake Wakati watu wanajitolea Jasho na Damu yeye na genge lake siwalikuwa huko magambani ikiwa huko wamemkataa aje CDM kufanya nini au mnadhani Tutarudia makosa ya 2010 kuchukua maKAPI dzaini ya SHIBUDA msitujazie Saver Mwambieni mtu wenu anaweza kwenda hats TADEA au PPMAENDELEO bt sio CDM