Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
na bora iwe ile kusadikika....maana tumechoka kutubu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama lowasa akihamia #Ukawa Atakuwa amekosa busara ya hali ya juu kuanzia yeye mpaka washauri wake kisiasa
Na ukawa wakimpokea lowasa watakuwa watakuwa nu watu wasio na msimamo kwa maana ya kuwa Lowasa amekuja kuwatumia tu Ukawa na hana Mapenzi ya dhati , hata hivyo ni Mroho wa madaraka kitu Ambacho kinatupa hofu namna Ambavyo Anatumia Nguvu nyingi kupata hicho kiti
Sijabahatisha Mkuu Na Ndani Ya Siku 3 au 5 Kutoka Sasa Mtanivulia KOFIA Humu Na Kunipigia SALUTE. Najiamini Kushinda Hata MALAIKA Wa Mbinguni.
Ndo maana nikasema ajisafishe maana mbele ya CCM kaonekana si msafi waka mtosa sasa ajisafishe