Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Lowassa akiwa Mkoani Njombe amerudia kauli ya baba wa taifa"amesema"wananchi wanahitaji mabadiliko,wasipoyapata ndani CCM watayatafuta nje ya CCM".
Chanzo: Itv Habari
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa CCM wakimkata Lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya CCM.
Nje ya CCM ni wapi? UKAWA hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,UKAWA ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT-Wazalendo na Lowassa yanaenda kutimia before Oktoba
Chanzo: Itv Habari
My take:Kwa kauli hii ni wazi kabisa CCM wakimkata Lowassa yupo tayari kwenda kuyatafuta hayo mabadiliko nje ya CCM.
Nje ya CCM ni wapi? UKAWA hawawezi kumpokea,Kachafuka sana,UKAWA ni sehemu ya watu safi tu.
Nadhani yale yasemwayo kuhusu ACT-Wazalendo na Lowassa yanaenda kutimia before Oktoba