Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,618
- 5,650
We noma,umejua hadi mambo ya lowasa na mkewe,hongera sana
Itakuwa utotoni mwake alikuwa Bingwa wa chabo...
We noma,umejua hadi mambo ya lowasa na mkewe,hongera sana
Mara unconfirmed mara rasmi?? Mbona unajitekenya!
Headline yako - UNCONFIRMED then sasa ni Rasmi. Tuchukue lipi sasa
umesema unconfirmed halaf unasema sasa ni rasmi, tushike lipi?
Pardon Sir, did you write in English?
Itakuwa utotoni mwake alikuwa Bingwa wa chabo...
Fanya Kama Vile Unavyoamua Kwenda Chooni Unaweza Ukaamua Kunya au Kutokunya. Maamuzi Yote Unayo Wewe Na Mtumbo Wako Huo.
wewe ndio wajiita nani hapa jf .eti unacheo gani?? acha dharau mkuuu
mke wa lowassa ana akili kuliko lowassa mwenyewe
Kwa mazingira yalivyo ni Lowassa mwenyewe kuamua kuacha Magufuli aende au yeye.
Ukweli wa mambo fursa ya Lowassa kuwa Rais wa awamu ya tano ilikuwa wazi na mfumo mbovu na wa kidikiteta ndio umedhulumu haki hiyo.
Na hapa ndiyo athari za moja kwa moja za kukosa mgombea huru kikatiba zinajitokeza wazi. Si haki na wala si halali kuwa lazima uwe mwanachama wa chama cha siasa ili upate dhamana ya chama kugombea nafasi ya Urais.
Kwa upande wa Edward Ngoyai Lowassa ni maamuzi yake either aendelee kuwa ndani ya Ccm akose kabisa hiyo bahati ya kuwa mkuu wa nchi au atoke na kujiunga na chama chochote kitakacho mpa nafasi ya kusimama kama mgombea kujaribu karata yake.
Mfumo uliotumika ndani ya CCM kuteua mgombea ulikuwa wa kidikiteta mno na lazima wachambuzi wa wasomi wawe wa kweli kuhusu hilio.
Mzee lowassa kanyang'anywa tonge mdomoni!!
Una kiherehere kama muuza gongo; si usubiri wenye Ukawa wenyewe watangaze; kwani wewe ndio umekuwa afisa habari wa UKAWA?! kupenda sifa kutakuponza Dude!! Mwanamme huna kifua cha kuhimili mambo kama Demu?! mdomo unakuwashawasha kuropoka tu!?
Mbona Hujamtaja Dr. John Magufuli? NILIJIAPIZA Kuwa Watu Hawa Lazima Mmoja Wao Atapitishwa Na CCM.
- Professor Mark Mwandosya
- Dr. John Magufuli
- Professor Sospeter Muhongo
Je Kati Ya Hao Watatu Tajwa Hapo Juu Hakuna ALIYEPITISHWA Na CCM? Huyo Ndiyo Mathematician Gentamycine Na MTANIKUBALI Tu.
Hahaha(lebaharia swag) eti Mathematician!!
Bandike ile 5 bora yako,check ratio uone ulivyofeli
Ulisema ile radio ya kina Nyani Ngabu a.k.a FLY imenunuliwa na nani vile?
au ulikuwa unawaamisha wana-daslam
Kama Nilivyokwisha Sema Huko Mwanzo Kuwa Magufuli Atakuwa Ndiyo Chaguo La CCM Kwa Vile Vigezo Nilivyowapeni Sasa Katika Hali Ya Kujiamini Kabisa Nawapeni Taarifa Hii Kuwa Mzee Mtei Amekubali Rasmi Kujitaoa Muhanga Kwa Kumtoa Katika Kinyang'anyiro Dr. Slaa Kuwa Mgombea Wa Urais Kwa Tiketi Ya UKAWA Na Sasa Ni Rasmi Kuwa Ndugu Edward Ngoyai Lowassa Muda Wowote ANAHAMIA RASMI Kutoka CCM Na Kuhamia CHADEMA Na Hapo Hapo Kupewa Nafasi Ya Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Katika Mbio Za Kuelekea IKULU Mwezi October Tarehe 25.
Muda Wowote Kutoka Sasa Walinzi Wake Wakiongozwa Na Bwana Aloyce Tendewa Wanarudi Idarani Kuendelea Na Majukumu Yao Mengine Na Kinachosubiriwa Sasa Upande Wa UKAWA Kumtangaza Ni Kuwa Wanaweka Mambo Sawa Katika Nyanja Zote Na Katika Siku 3 Hizi Lowassa ATATANGAZWA Rasmi Kuwa Ametua CHADEMA Japo Mke Wake Mama Regina Amejitahidi Mno Kumsihi Mumewe Asihame CCM Lakini Lowassa Bado Ana Machungu, Hasira Huku Akishawishiwa Vibaya Na Washauri Wake Wakuu Haswa Haswa Mzee Apson Mwang'onda.
Mliokuwa Mkinidhihaki Kuhusu Magufuli Na Akawa Yeye Sasa Wote Mmepotea Hebu Nidhihikani Na Hili Pia Na Nina Uhakika 100% Wa Hii Breaking News Yangu Kwenu. Lowassa Kuhamia CHADEMA Rasmi Na Kuwa Mpeperusha Bendera Kwa Tiketi Ya UKAWA. Take It From Me! Fumbo Alilolifumba Jana Mbunge James Mbatia Mlilielewa?
Lowassa UMESHAJIPOTEZA Rasmi Kisiasa.
Polepole utaelewa tu bavicha mwaka huu mnakazi kweli.